buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 4,678
- 11,357
Kunyani yupo fasta kwa ndio ikitoka kwa mzungu maana wanamhusudu.Kutokuwa na military base yao Tanzania ni jambo ambalo linawasumbua akili hadi leo hii, hawataki kuamini kuwa nchi imekataa.
Imagine kuwa na military base kwenye nchi iliyopakana na nchi nane, nchi yenye bahari tena ya Indian Ocean, nchi yenye maziwa makubwa. 😂😂😂
Iko hivyo kwetu kukataa kwa sababu Nchi ina identity toka inaanza.
Kuruhusu makambi hakuendani na fikra za uanzilishi wa nchi HURU, AMANI, INAYOJITEGEMEA, UMOJA, MAPINDUZI na UKOMBOZI yaani umpige kaburu kila sehemu na mzungu.kila sehemu ya Africa kuwapa watu freedom alafu uje wewe umpe influence ya kijeshi nchini kwako. Na jamaa anachokochoko nyingi za kutishia Amani.
The best 007 alisema nchi hadi mnuka Gundi anataka kuwa Raisi hamna nchi hapo.