Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Vitu mnashangilia bana ni ya kutia aibu😂
1739366003940.jpeg

1739366024315.jpeg
 
Everyone where? Kama umeenda maeneo ya bank kwnn wasiikubali? Ukienda airport tu kuna baadhi ya bank hazi change Kenyan shilling ndiyo itakuwa mtaani, wacha kujichocha, huku hata uwe na US$ mtaani unaweza usipate huduma, ndiyo mtu akubali dafu la Kenya? Kwanza watu hawaijui.
Buda sasa lazima upinge hata my own experiences? 😂😂
 
Rendering yake ni kali, naona watu wanalalamika kwanini ni Olympic stadia.
Hao watu ni Wapumbavu waambie hata Wembley ni Olympic standards na wasilete ujinga wa kushinikiza serikali kujenga national stadium for only soccer use badala ya multipurpose uses! Soccer use waachie football clubs kama Azam, Yanga na Simba! EPL isiwapumbaze!
 
The whole President of Ukunyani flagging 4 electrical poles with a cokroach flag! Ambia aache ku-stoop so low hiyo ni miradi hata MCA hawafai ku-launch! No wonder mna flag ina mende ikipeperusha kombamwiko ideas!
CC: still that lift is more expensive than 4 poles here is Kasongo launching 4 poles from Tanzania!

View: https://x.com/Na_TomBayeye/status/1882927929459700103

Pettiness at its finest
This was a launch for the last mile project worth billions of shillings, targeting over 28,000 households.stop making random people’s X accounts to be your source, unajiabisha sana
IMG_0973.png

IMG_0978.jpeg

IMG_0974.png
IMG_0975.png
IMG_0977.jpeg


View: https://www.youtube.com/live/7clcvhOREQw?feature=shared
 
Pettiness at its finest
This was a launch for the last mile project worth billions of shillings, targeting over 28,000 households.stop making random people’s X accounts to be your source, unajiabisha sana
View attachment 3234512
View attachment 3234521
View attachment 3234514View attachment 3234515View attachment 3234517

View: https://www.youtube.com/live/7clcvhOREQw?feature=shared

Aaawapi wewe si mjuaji kuliko KOT! Mbona ai-launch kwenye power distribution station? Endelea kubebwa ufala!
 
Aaawapi wewe si mjuaji kuliko KOT! Mbona ai-launch kwenye power distribution station? Endelea kubebwa ufala!
It’s really pathetic how you stoop to such pitiful lows just to back up a worthless argument. Even after giving you the actual information and video evidence plus the background story you still manage to turn yourself into a complete laughingstock.😂😂
 
Kwa hiyo ulikuwa unataka na sisi tuwe tunaenda kukodi kama nyie hata kama sisi ni maskini huwa tunajitambua na ufisadi upo kila mahali hata huku kwetu wapo wapigaji ila kwenu kumezidi viongozi wenu wanakopa kisha wanagawana hela juu kwa juu kisha mnaingia barabarani kuharibu mali za watu viongozi wenu hawana huruma na wananchi wa kundustan hela zote mlizo kopa hamna hata mradi mmoja wa serikali kwa 100% yote ni PPP upigaji kwenu umezidi kama serikali inakosa fedha za kulipa mishahara wafanyakazi wake hiyo ni nchi kweli au ili mradi mwandamane muonekane mna haki ya kuandamana pumbafu kabisa
Ni kipi usichoelewa?ni wapi nilipoandika kuwa hakuna corruption Kenya? Nachokisisitiza ni kwamba wakenya wana mwamko kukataa ulaghai wa uwazi na hio inasaidia kupunguza corruption. Tofauti na watanzania wanaosifia ulaghai wa uwazi hata hamjafika kiwango cha kuelewa kuwa mali ya umma sio mali ya viongozi… kuna tofauti kubwa sana ukipata kwa upande mmoja, raiya wanakashifu rais wao kwa kutumia private jet inayolipiwa na mali ya umma na kwa upande mwingine wananchi wanashangilia ununuzi wa jet mpya ya rais (approximately $100m) ingawa ni nchi iliyo katika dunia ya tatu ama third world country
 
Back
Top Bottom