Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Capacity doesn’t mean beauty mkuu. 🀣🀣🀣
 
Kundudweller bhana 🀣 🀣 🀣 🀣 Yaani tujenge uwanja wa watu 60K kwa lengo lipi? 30K inatosha

Wewe ni mshamba
 
Nawashangaa sana wakenya. Uwanja wa Dodoma ujenzi unaendelea. Na nilishiriki katika kazi moja wapo ya ku supply kifusi.
Naona ulishiriki katika kazi ya ujenzi wa uwanja wa Dodoma hata kabla uzinduzi ufanywe? Huu ujenzi unaongelea ulikuwa unafanyika kwenye ndoto ama?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.


Yani unaongeza na uongo ati ulishikiri kwenye ujenzi yet design ya uwanja umezinduliwa leo πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyo jamaa ana ugonjwa wa akili. Bongolala wengine hapa ni wajinga ila yeye amepitiliza sana. 🀣
 
Ujenzi wa Uwanja unaazia kwenye design mdogo wangu. Au unadhani vitu vinatokea tu kama ndoto?
 
Ujenzi wa Uwanja unaazia kwenye design mdogo wangu. Au unadhani vitu vinatokea tu kama ndoto?
Kwenye design ulishiriki kwenye nini exactly? Ulisema ulishiriki, ebu tuambie ulishiriki kwenye niniπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nasikia kuna watu wanasupply hardcore kwa architect na engineer atumie kudesign stadium. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…