Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeikuta mahala Saudi Arabia acquires Tanzania’s Bagamoyo port
Screenshot_20250213-161143.jpg
 
Magufuli angejua upumbavu alioufanya unaleta nn kwetu sie? Nadhani asingekurupuka! Sasa waarabu ndio wanachukua bandari zetu zoote! Jamaa alikuwa mpumbavu sana na mtu wa mihemko! Hawa waarabu wakimiliki njia zako za uchumi hata siasa watakuamulia!
so dp ameletwa na magufuli akapaewa dar port ? ww sanyingine kama unadata 😂
 
Magufuli angejua upumbavu alioufanya unaleta nn kwetu sie? Nadhani asingekurupuka! Sasa waarabu ndio wanachukua bandari zetu zoote! Jamaa alikuwa mpumbavu sana na mtu wa mihemko! Hawa waarabu wakimiliki njia zako za uchumi hata siasa watakuamulia!
Lakini China na Oman Wameshindwa kabla na Hawa wanakuja kama wawekezaji wanaweka rights zao mezani ni nyie tuu kuamua kuendelea nao au hapana.
 
Magufuli angejua upumbavu alioufanya unaleta nn kwetu sie? Nadhani asingekurupuka! Sasa waarabu ndio wanachukua bandari zetu zoote! Jamaa alikuwa mpumbavu sana na mtu wa mihemko! Hawa waarabu wakimiliki njia zako za uchumi hata siasa watakuamulia!
Mnashughulika sana na ya Kenya huku nchi yenu ikiuzwa. Yani heri sisi ni mradi tu wa PPP, huko kwenu wanapewa kabisa Bandari iwe yao.
 
Huna sura ya kutombwa na mimi, mbona unafosi mapenzi wa kidem kibovu..? Yani ume save hadi picha zangu za utotoni.? 🤣🤣

SIKUTAKI. Acha kunitongoza, wewe sio Dem mzuri, tafutana na vimbwelu wenzako mmalizane. SIKUTAKI, SIKUTAKI, SIKUTAKI.
Upo kwenye DMs zangu alafu unasema nakutongoza? Mama wee 🤣 🤣
Naona umeona vitisho vyako vya utoto havina uzito sasa umeamua kujiaminisha ndoto zako.

screenshot-2025-02-13-160735-png.3235472
 
Upo kwenye DMs zangu alafu unasema nakutongoza? Mama wee 🤣 🤣
Naona umeona vitisho vyako vya utoto havina uzito sasa umeamua kujiaminisha ndoto zako.

screenshot-2025-02-13-160735-png.3235472
Kwani ni nani alianza kum tag mwenzake humu ndani.? Kama sio wewe.? Picha zangu za utotoni zinangoja nini Kwa device yako.? Je nasema uongo ninayosema unanitaka.?

Sasa skia SIKUTAKI. wewe sio mwanamke mzuri. Katafute vibwengo wenzako.
 
Alivunja maradi wa Bagamoyo badala ya kuendeleza majadiliano! Hawa Wasaudi na Waimirati Ndio wako Yemen wanakinukisha!
pale hakukua na mradi mzee kulikua na uozo wa ajabu kuwahi kutokea duniani na tena tungeingia ule mkenge tungechekwa na dunia nzima na tungejitia kitanzi cha umaskini kwa vizazi mpaka 10 vijavyo
 
Kwani ni nani alianza kum tag mwenzake humu ndani.? Kama sio wewe.? Picha zangu za utotoni zinangoja nini Kwa device yako.? Je nasema uongo ninayosema unanitaka.?

Sasa skia SIKUTAKI. wewe sio mwanamke mzuri. Katafute vibwengo wenzako.
Sijakutag, nimekuquote, sijakuDM, nimekuquote. This is a public forum and we are allowed to quote anyone na sio wewe pekee ninayemquote. Labda uko dry spell ndio maana kitu simple kama kuwa quoted inafanya uone mtu anakutaka. Mbilikimo kama wewe nimtake ndio nimpeleke wapi? Ona ulivyochokaa. Pthoo. Halafu tabia zenyewe za kibinti.
meddy_clever_161487646611960.jpg
 
Sijakutag, nimekuquote, sijakuDM, nimekuquote. This is a public forum and we are allowed to quote anyone na sio wewe pekee ninayemquote. Labda uko dry spell ndio maana kitu simple kama kuwa quoted inafanya uone mtu anakutaka. Mbilikimo kama wewe nimtake ndio nimpeleke wapi? Ona ulivyochokaa. Pthoo. Halafu tabia zenyewe za kibinti.
View attachment 3235492
Mbona hili tahira linalazimisha mambo.? 🤣🤣🤣🤣

SIKUTAKI Achana na mimi wewe mbwa m.
 
Magufuli angejua upumbavu alioufanya unaleta nn kwetu sie? Nadhani asingekurupuka! Sasa waarabu ndio wanachukua bandari zetu zoote! Jamaa alikuwa mpumbavu sana na mtu wa mihemko! Hawa waarabu wakimiliki njia zako za uchumi hata siasa watakuamulia!
Mzee achana na Mzee Magufuli apumzike. Mtu alishajifia 2021 huko...tuko 2025 why umlaumu?
Ukimchukia..unaumia wew sio yeye
 
How can a 20k stadium with running tracks be more modern than a 60k seater stadium with no tracks? Are you aware that Canopy ya Talanta will reach almost katikati ya pitch while hizo zenu will only cover the upper stands? Watu wa lower stands watakuwa wanapigwa na jua na kunyeshewa Kama kwa Makwapa.
Kwahiyo Talanta ina EXTENDED CANOPY?😁😁😁
 
Back
Top Bottom