Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mapato hayo yote bado watu wanakopa mabilioni kwa matrilioni
Inashangaza, imagine utasikia wanapokea mkopo wa $100m huku Tourism iko na $3bn.

Mambo hayataki pupa, kama kwa mwaka unakusanya hela hizo zote, weka mradi utegee kipindi flani tuseme miaka miwili mradi wa $500m Barabara ya njia 4 ifike sehemu kuelekea Dodoma inafika tu.

Ila ajabu utasikia wanaomba (Tzs 150bn) sawa na USD 65m kama bond ya TARURA road network miaka mitano?

$65m?????????

Kwa mwezi unakusanya Sh 3 trillion ($1.5bn)

Alafu $65m za kuwapa TARURA unakosa hadi uchangishe???

Mbona hizo za kutoa wiki tu wakiamua.
 
Ndio maana inanipaga ukakasi may be na sisi tupo na mambo ya Francophone na Ufaransa kwenye mlango mwingine.

Maana mikopo mingine haimake sense kabisa.

Yaani inaonekana unamudu kabisa hizo fedha ila unazikopea.
 
Hiyo stadium seater ngapi? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Alafu Uganda Tz wanajenga different place cha ajabu Kenya inajenga One stadium Naipori.

Tanzania
Arusha
Zanzibar
Dodoma
Dar Es Salaam

Uganda
1. Kampala
2. Hoima.
3. Lira


Kenya
Naipori.
Ila kule Lira Uganda kunafikika vp? Kama hata hapo Hoima kwenye bomba la mafuta na refinery ule uwanja haujakamilika!
 
Kimsingi Tanzania hatuna waziri wa finance...nchi ipo ipo tu.

Mimi nasemaga tukiwa na waziri mzr na viongozi bora kwenye finance nakwambia GDP ya Tanzania itakuwa $150 huko
No data records, watu wengi bado wako nje ya mfumo wa mzunguko wa hela...matumizi, mapato nk mengi hayawi recorded.

Ndo maana Tanzania inaonekana ina Maendeleo makubwa kuliko GDP yake lakini pia Fedha zinazokusanywa haziendani na Maendeleo.
Kimsingi HAKUNA UWAZI KWENYE MATUMIZI YA PESA NA GENERAL MONEY CIRCULATION na mbaya zaidi kuna vigogo wengi hawataki huu uwazi maana most of their money sources sio clean... kimsingi kuna a lot of money londering in Tanzania
 
Hiyo stadium seater ngapi? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Alafu Uganda Tz wanajenga different place cha ajabu Kenya inajenga One stadium Naipori.

Tanzania
Arusha
Zanzibar
Dodoma
Dar Es Salaam

Uganda
1. Kampala
2. Hoima.
3. Lira


Kenya
Naipori.
Si huwa wanaponda uwanja wa Tanzania ati upo mbali na mjini, inakuwaje wanasifia huo wa Ug ambao upo porini kabisa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hawana facts wana chuki na wivu.
 
Point kubwa sana umeongea. Mimi sa nyingine huwa naona hawa watu hawaoni aibu....wanakopa hadi 20mil USD hela ambayo ni ndogo sana, kuna WATANZANIA kibao ipo Tu hiyo imekaa benki.

Yani huwa sielewi kabisa!!
 
Miradi nne.? Karibu majengo yote Kk na Posta ni NHC projects mzee. And so many buildings around the country. Ukitaka nikuwekee most recent pia nitakuwekea zaidi ya miradi kumi.
Mbona sizioni kwa completed projects? This is NHC website.

Shida yako wewe huongea tu bila evidence.
🀣🀣🀣 Remittance ni ya serikali au ya lazy bones wanaosubiri wengine wahenyeke gulf wao wapokee tu na ya kutolea? πŸ˜‚πŸ˜‚
Remittance ni source of foreign exchange or not? Na hizo vitu ulataja hapo juu ni ya serikali yenu?
 
🀣🀣🀣 Remittance ni ya serikali au ya lazy bones wanaosubiri wengine wahenyeke gulf wao wapokee tu na ya kutolea? πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa hivo mtu akifanya kazi ughaibuni alafu aje ajenge nyumba kwake ama asomeshe watoto wake ama anunue gari lake hilo linamaanisha wengine waliobaki ni lazy? Amejifanyia mambo yake mwenyewe alafu wengine wasio na anything to do with it waitwe lazy? Enyewe bongolala ni bongolala tu. πŸ˜‚
 
Hawa wachawi huwa wanaumizwa sana na mambo ya remittanceπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ila kule Lira Uganda kunafikika vp? Kama hata hapo Hoima kwenye bomba la mafuta na refinery ule uwanja haujakamilika!
Well nimewahi jiuliza, may be Bertin yupo huko atafika tujue.

Au siasa za mseveni kuwatuliza watu kuwa kila kitu Kampala wao vipi.

Ila naona Kampala, Hoima, Lira Zipo within 300km radius.

Labda Facilities ndio zinaweza kua jau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…