Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Inashangaza, imagine utasikia wanapokea mkopo wa $100m huku Tourism iko na $3bn.

Mambo hayataki pupa, kama kwa mwaka unakusanya hela hizo zote, weka mradi utegee kipindi flani tuseme miaka miwili mradi wa $500m Barabara ya njia 4 ifike sehemu kuelekea Dodoma inafika tu.

Ila ajabu utasikia wanaomba (Tzs 150bn) sawa na USD 65m kama bond ya TARURA road network miaka mitano?

$65m?????????

Kwa mwezi unakusanya Sh 3 trillion ($1.5bn)

Alafu $65m za kuwapa TARURA unakosa hadi uchangishe???

Mbona hizo za kutoa wiki tu wakiamua.
Ogopa watu wanaoongea sana. Mtu analipa wasanii wapige debe. Hadi wasanii chawa kutoka Kenya waje wapige debe. Hamna kitu hapo, atatembelea nyotq ya marehemu hadi 2030.
 
Inaitwa kupunguza maumivu. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Raila did better that what you Bongolalas were posting yesterdayโ€ฆ check the differenceโ€ฆ
IMG_5922.jpeg
 
so djibouti iko kenya tena ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

yani raila kapigwa chini mkenya mwenzenu sasa munashangili djebout๐Ÿ˜‚
Yemeni boy , I thought you update yourself with Kenya current events line by line ama umeamua kuwa selective opportunistโ€ฆ. Am sure you know Gen Z feel Raila sold them out and betrayed their course โ€ฆso they were rooting for Djiboutiโ€ฆ am sure you knew that ..๐Ÿ˜
 
Back
Top Bottom