Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona sizioni kwa completed projects? This is NHC website.

Shida yako wewe huongea tu bila evidence.

Remittance ni source of foreign exchange or not? Na hizo vitu ulataja hapo juu ni ya serikali yenu?
Kijana hao hawajaupdate, nimeona Morocco square ipo eti ongoing , wakati ishakamilika na inatumika.

1000029719.jpg


Hiyo ya Dodoma


View: https://www.instagram.com/p/DGAR3fQMnbY/?igsh=MXVwc3ZoY2NvenVo
 
wewe ni mpumbavu wa mwisho acquire inatokana na neno Acquisition, a business term! A business transaction that involves a transfer of owneship of companies, business organizations, or their operating units! Sasa sijui unanifundisha nini mimi nyoko wewe! Huyo Mpumbavu wenu alikuwa na nafasi ya ku-negotiate na Wachina badala ya kuvunja mkataba! Sasa tunaletewa Wahab kumiliki bandari zetu!
Kwanini na mama yenu kashindwa kunegotiate nao?
 
labda wataenda na charter flights!
Naona AFCON 2027 inaweza kua na vituko vingi kwenye facilities.

Jamaa wakaona wasukumize zote NAIPORI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kujiwahi mapema.

Dodoma Msalato inakamilika, SGR ipo, Arusha KIA tayari ipo, Arusha Airport ipo, Znz tayari ina International Airport, Dar ina International Airport.

Hotels Dar, Arusha, Znz zinakidhi, Dodoma I hope serikali iwe serious na kufanyia kazi Dodoma Msalato Airport ikikamilika ili ofisi za Ubalozi na mashirika wahamie Dodoma, huenda Hotels zikaongezwa.
 
Kwa hivo mtu akifanya kazi ughaibuni alafu aje ajenge nyumba kwake ama asomeshe watoto wake ama anunue gari lake hilo linamaanisha wengine waliobaki ni lazy? Amejifanyia mambo yake mwenyewe alafu wengine wasio na anything to do with it waitwe lazy? Enyewe bongolala ni bongolala tu. πŸ˜‚
Mnafanya kazi au mnafanya utumwa? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


View: https://x.com/NationAfrica/status/1890589503141638378?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1890589503141638378%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=
 

Sio hiyo tu, ni wao kujiona wa maana kila mahali kumbe ovyo, jiulize kama ilivyosema Unaweza elewa foreign policy yao?


Ipo ipo kutimiza matakwa.

Njoo Foreign Policy ya Tanzania inaeleweka toka kitambo na imejengwa na misingi ya kueleweka ambayo imegusa nchi nyingi hapa Africa na Duniani kwa ujumla hasa Global South sana, ndio maana kwa ulingo wa Diplomacy tuko vizuri.
 
Sio hiyo tu, ni wao kujiona wa maana kila mahali kumbe ovyo, jiulize kama ilivyosema Unaweza elewa foreign policy yao?


Ipo ipo kutimiza matakwa.

Njoo Foreign Policy ya Tanzania inaeleweka toka kitambo na imejengwa na misingi ya kueleweka ambayo imegusa nchi nyingi hapa Africa na Duniani kwa ujumla hasa Global South sana, ndio maana kwa ulingo wa Diplomacy tuko vizuri.

View: https://x.com/RwigaraA40318/status/1890754983164817489

MY TAKE
Hawa wapumbavu hushindwa kujua where they belong a puppet nation kupewa AU presidency?? Kweli?? Haitakaa itokee! juzi East African Standby walipeleka majeshi eastern DRC ghafla Kundustan ikaanza ku-export coltan! Ndio maana Tshisekedi akaamua kuwatimua!
 
Back
Top Bottom