Kibada Dar es Salaam.Kuna ile mbweni yenye imepata barabara mbili kisa Rais wao kajenga huko, wameizungusha hiyo barabara humu hadi imechoka. π π
Kwnn unalazimisha debating na mtu asiyetaka ku debate nawe? Nmeshakuambia sitaki uni quote, kwnn unalazimisha mbwa wewe? Au unataka ban? Sasa nijibu tena uone, mkundu kunuka we.Unaongea hapa yet Tanzania imports fertilized eggs from Kenya. Consumption yenu pia iko chini bado.
View attachment 3240651
No slums in Tanzania.sasa kama unaishi kwa slum unafikiria kila mtu anaishi kwa slum kama wewe π
Kibera alone can accommodate more than 2.5m slum dwellers, we huogopi?Yaa kati ya wakazi 3.5m wa Nairobi wanaoishi kwenye slums wewe haupo au wewe ni mpokoti?
Duuhhh aiseee sikuwa najua kama mombasa pia kuna ma slums, nilichokuwa najua ni kwamba mombasa ni mji wenye nyumba nyingi za udongo.Nyuma ya hayo majengo kuna slums za kufa mtu.
Kimsingi Mombasa inashindana na Nairobi kwenye number of slums. Sema za huku ziko unique. Zipo karibu na beach
View attachment 3240713View attachment 3240714
Mbona kama umeumia hivii π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£So finally mmekubali kuwa Dar ni slum iliyo na a few developed areas! Hongera sana!!
View attachment 3240718
Kenya kila unapoona kuna ka estate ya vijumba viwili vitatu ujue pembeni kuna bonge la slum.
70% ya nyumba za mombasa ni za udongo don't forget that.Hawa watu wanakuwanga wanafiki sana. Hizo nyumba za Mombasa ndio 90% ya Dar inakaa, yet hawaonyeshi hiyo Dar but mtu akipost picha ya Mombasa wanakuja nazo. π π
Inafikirisha namna wanavyo ogopa nchi ya Tanzania. πππ
View: https://x.com/rodgers_adai/status/1891854988554518649?s=46
Nilikuwa nashangaa hawa wanuka nuka wakisema eti wanatuzidi km of tarmac roads, jamaa kaweka wazi kwamba tumewaacha mbali sn.Inafikirisha namna wanavyo ogopa nchi ya Tanzania. πππ
View: https://x.com/rodgers_adai/status/1891854988554518649?s=46
Hizi propaganda za Kagame zinaweza mtokea puani akajuta.
How many km of tarmacked roads r there in Kenya? Rodgers Adai anasema only 9000 km!Inafikirisha namna wanavyo ogopa nchi ya Tanzania. πππ
View: https://x.com/rodgers_adai/status/1891854988554518649?s=46
hali ni mbaya huyu atakwamisha mradi wa SGR kwenda Kindu! Saahii tayari kashachukua North and South Kivu!Hizi propaganda za Kagame zinaweza mtokea puani akajuta.
Kule mwisho waweke bendera kubwa ya TZ Nyang'au hakawii kujipa umhimu.Tupate wadhamini kidogo
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/1A98GSKY4K/
Inafikirisha namna wanavyo ogopa nchi ya Tanzania. πππ
View: https://x.com/rodgers_adai/status/1891854988554518649?s=46
Nishasema Kongo wenyewe ndio wanaofelisha ilitakiwa muda huu kuwe na executive order ya Makampuni yote ya madini kustop shughuli hadi waasi waishe, na ilitakiwa order ya kufunga mipaka kijeshi.hali ni mbaya huyu atakwamisha mradi wa SGR kwenda Kindu! Saahii tayari kashachukua North and South Kivu!