Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Priority ni kuuza kila kinachouzika na kupata 10%
hapo hata sio 10% i think ni 100% camera moja tena HD night vision outdoor imeuzwa ghali sana ni 100k so kwa camera 40 ni 4m haya weka hard disk mayb 2m, cables weka 2m, screen weka 2m, ufundi weka 3m

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bro you will run out of breath.. that one is irredeemable, he’s drifted too far . Save your breath
 
Tunategemea dotto magari badae na yeye awe mbunge na wakina baba levo,mwijaku.
Guys this is terrible.
Watu ambao awapendi na kuiponda elimu naona ndio wapo pale mbele 😑🀬
Siku hiz watu wamekuwa wa kuongea tu. No any action. Na tukiendelea majirani kama wakenya wataendelea kutucheka tu.

Hiv inapitaje mwezi mzima hakuna mradi uliofunguliwa tu public? Mradi wa mwaka mmoja unachukua miaka hadi mitano.

BRT phase 3 ilipaswa kukamilika mwezi huu...march wakabidhi na mradi uanze kuoperate. Hii ni kadiri ya mkataba wao hao synohdro. Shida ni nini? Hawalipwi? Wamefirisika? Au nini haswa kushindwa kumaliza km 23 tu kwa miaka miwili sasa...yaani kupanua barabara upya na kujenga vituo vya mwendokasi inaenda miaka mitatu yote? Na ni Barabara muhimu sana ile kutokea airport?
Na viongozi wapo tu wanawachekea.
Azikiwe avenue kwa nini manyaya ya umeme na fivre hawayafukii? Au wanataka waje wachimbue baadae kufukia yale manyaya?

BRT 2 wameshindwa kabisa kuleta mwekezaji mwaka wa nne huu.

Hatuna nchi hapa
 
Wako kimya! Na ukijaribu kuongea chochote kuhusu hiyo progress unatishiwa na unaweza kuuliwa. Waandishi wa habari wote hakuna hata mwenye udhubutu wa kureport kinachoendelea..kote ni kusifia mama mama.

Na inavyoonekana. Nothing will continue hadi 2030 labda tukipata Rais mwingine...

Hawasemi shida ni nini? Pesa imeisha? Mkandarasi hakulipwa? Mkataba ulikuwa ovyo? Walikosa 10%? shida nini haswa.
 
Ni adithi za abunuasi me kiongozi akiwa anaongea uwa nasema muda utaongea ila wenye akili za visoda wanashangilia kweli the problem hii nchi ukisema ukweli unaoneka mhaini πŸ˜πŸ˜‚ watu wanasifia mtu ata makanisani na misikitini uwa awakanyagi huoni hiyo ni kufuru.

Mkandarasi hana shida na watoa pesa ndio wenye shida me siwezi pewa kazi alafu nifanye hovyo badae company yangu iwe na sifa mbaya.

Tatzo watu awalipi certificates kwa muda na ela ikitoka bas n kidogo.

Pia jiji kama dar linatakiwa kuwa clean na smart ila naona ujinga tu kuacha mamtu yanauza adi barabarani hapo kariakoo huu uafrica wa kijinga tutauacha lini
Ingawa tumeendelea kwa kiasi fulani ila bado kuna shida kubwa kwa baadhi ya viongozi tusiishi kwa fikra za miaka ya 70 ila tuishi 2050.

Mwanza airport adi leo kufanya finishing lile banda la kuku imewashinda.

Kudhibiti jiji kama dar watu wasiuze kila sehem olaaaaah guys this is too much mkuu wa mkoa kazi kutoa michambo tu.
 
Brother kufa ni lazima na me sio mwoga kiasi hicho sikulelewa kwenye mazingira ya kunyenyekea mtu flani.

Lot 3,4,5
Pesa zimeenda wapi na atakama ni mkopo Au fedha za ndani sisi ndio tutalipa hilo deni si lazima tufatilie

Hii sio miaka ya 70 watu tuogope kusema tata
 
Kibada Dar es Salaam.
Halafu wew si ulisema kigamboni haina lami?

View: https://youtu.be/Br9-54GPzG0?si=wXYp17cHYxlaa4kt
Wewe kichaa, unataka kulinganisha huo uchafu na hii Estate? Mtaa wenyewe barabara za lami ni za kuhesabika na zile ambazo zipo zimejaa vumbi tupu. Barabara hizo zimejaa vumbi ulinganishe na hizi hapa?

View: https://youtu.be/ab5QSuUlxZgHuo mtaa wa Kibada ungekuwa Kenya ungetuchosha humu ukitueleza jinsi hauna horizonto inifurastracha.
Halafu huyo Bertin Kawaida yake video za Bongo akifika mahali hakuna lami haonyeshi barabara, akiwa Kenya hata akiona kakifusi kadogo ka takataka kando ya barabara lazima azoom hapo camera ndio kaonekane kabisa.

 
Huku korogwe sijui anakuja lini hata wahuni wanajua kazi ni kusifia tu
 
How many km of tarmacked roads r there in Kenya? Rodgers Adai anasema only 9000 km!
CC: NairobiWalker Teargass IamLee n mwathadan
Mnapenda kujipiga punyeto mkijifurahisha. Yani mtu apost tweet aseme you cannot change KES to USD in Machakos, Kakamega, Kisumu, Eldoret alafu bado unaendelea kumskiza? Hivi hujui Bank zote Kenya zinabadilisha hela. Endeleeni kujipiga punyeto na sources zenu za twitter.
 
Seriously can you compare that na living conditions in kibera, pipeline, mathare, mukuru kwa njenga?
Hizo sehemu umetaja hazina tofauti na Mazense, Tandale, Vinginguti, Buguruni, Chang'ombe nk. In fact, places like Mathare and Pipeline are better off.
Take a look at this uswazi hovel below then compare with Pipeline Kisha niambie ni wapi Kuna unafuu


Pipeline
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…