Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I asked you a very simple question watchman. Show/tell me any part of Dar that has never been posted on this thread. Maelezo miingi ya nini?
Silly question, and the watchman must be a poor Kenyan working in Tz
 
But all the statistics from Kenya and Tanzania says that Tanzania imports more from Kenya than Kenya imports from Tanzania?
statistics by who mama ngina?? kila siku munakaa kudanganywa na bahati nzuri siku hzi wenyewe munamuita kasongo ni muongo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

mambo kwa ground hayadanganyi buda
 
Bro, many Kenyans lease land in Tanzania and grow crops. Huwa mnajifanya ni kama Tanzania Iko mbinguni vile yet mmelease Hadi National Parks zenu kwa Waarabu wafanye uwindaji na pia Ports zenu zote mmelease.๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
Hao wakenya unaweza wataja? Acha ujinga.

Tumelease national parks?

Mbona kila siku ukishikwa unakimbilia mifano isiyoeleweka.

Ports na kilimo wapi na wapi, so uklease gati moja ya port ndio ifanye wewe kuhisi wakenya wamekua leased na ardhi ya kulima matani kiasi kwamba wanajaza maroli yote ya Kenya 300k Tons?

Ufala mwingine tatizo.

Haya basi tuambie Wakenya hao walio kuwa leased na Serikali ardhi inayoweza produce 300k Tons of Maizes kwa Wakenya. 600k Tons of Maize to Zambia, 100k tons to WFP.

500k Tons of Maize to DRC.

I WOULD LIKE TO KNOW HAO WAKENYA WANAOPRODUCE PIA 11 MILLION TONES OF MAIZE hapa Tanzania.


"Mzee wa Watanzania wanaojifanya Wakenya"
 
Sawa.
 
Chochote kizuri kuhusu Tanzania lazima wajihusishe wakumbafu hawa. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
But he lives in Tanzania na wala hafikirii kuondoka. I know him..ameishi Tanzania toka 2010 huko na hana hata mpango wa kusepa.

Ukiona mtu anaponda sehemu anayoishi na ujue anataka kuwe better zaidi.kitu ambacho hata sisi tunafanya hapa.
Najua hampendi ukweli, knowing him will make Tanzania and Dar to be better than Ethiopia and Addis Ababa? Just accept that Tanzania is not as developed as you may wish it to be, a tu you are overhyping Tanzania a lot.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ