Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You agree that Kenya is Producing 3,300MW 🤔🤔🤔 Good. Usije kubadilisha tena tunaweka hii kwenye record.
Kwani production ya Kenya imeisha Hivo? Kupingana n akili zako hatutajenga other sources of electricity?
 
Halmashauri ya Jiji la Nairobi imekatiwa Umeme kutokana na Deni kubwa wanalo daiwa na Shirika la Umeme la Nchi hiyo! Wakati hayo yakifanyika Shirika la Umeme nalo wanadaiwa Kodi mbali mbali za Halmashauri ikiwemo ile ya Uzoaji taka! Usafi nk Baada ya Jiji kukatiwa Umeme nao wakasomba Uchafu na kwenda Kuumwaga mbele ya Jengo la Shirika la Umeme
 
Punguza ushmba na kiherehere. Penye tulikua 25 years ago ndio munajaribu kufika sahii.

Image


One Night stand at Nyayo National Stadium | franklinmemories

SportsKenya: 01/05/2010 - 01/06/2010
Kenge wewe 2012 huko.

Karudie kusoma tena acha wehu kwani hizo taa hazikiwepo hadi.mzurure Malawi na Uganda?
 
Back
Top Bottom