ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hawa ni majokers mkuu.Hebu tuprove ukubwa wa Bien Vs Marioo.
Tatizo lenu mnaongea sana.
Let's start with YouTube.
Bien joined YouTube 2012 and these are the results
View attachment 3252163View attachment 3252164
Let's see Marioo from Tanzania
Alijoin YouTube 2018
And these are results
View attachment 3252165View attachment 3252166
Ok. Who is big and popular on YouTube?
Labda utasema oh! watz ni YouTube tu.
Ok, lets go to IG,
Huyu ni BienView attachment 3252172
Huyu ni Marioo! Ok nani mkubwa
View attachment 3252170
Endelea kuchekacheka sasa.
Lete trend za kenya mwezi huu nikufundishe kitu, mbona mnafosi tufanane π€£π€£π€£π€£π€£Huyu marioo nimemjua na huu wimbo wa Bien. Bien anajulikana Africa nzima. Hawa majamaa ni mazebu. Hivi ukipeleka Bien na Marioo Nigeria nani atajua Marioo huko?
Sasa top 10 huyo msanii wao hayupo, wakuu kuna baadhi ya mada tusiwe tunawajibu, ni ujinga.Huu ni uongo, kwanini unapenda kudanganya wewe.?
Hata tukiangalia chats za mziki kenya still marioo ako na shabiki wengi in kenya than bien.
Ni ukweli usiofichika kwamba bien alikua mkubwa, hata kabla marioo hajatoka, lakini mziki it is all about rotation. Sahii mziki wa marioo ndio uko kwene peak kuliko mziki wa Bien. Marioo enjoys the big fanbase in kenya than even in Tz. For instance hizi hapa chats za boomplay in kenya. ππΎ
View: https://www.instagram.com/p/DGVUTa6thuY/?igsh=MXd1MG5zaHBybjdzdA==.. Hizi hapa chats za Audiomack. ππΎ
View: https://www.instagram.com/p/DF-3PCnsFUr/?img_index=1&igsh=dGM5dW5mam95MWpt. Album ya marioo βGod sonβ inafanya vizuri kenya kuliko hata Tz.
Ati value, value gani zaidi Kiburi.Wacha nimalize mjadala na hii picha tena.
Alafu nisign na hii video kwenye tweet.
View: https://twitter.com/Sativa255/status/1894874327079887358
Huyu marioo nimemjua na huu wimbo wa Bien. Bien anajulikana Africa nzima. Hawa majamaa ni mazebu. Hivi ukipeleka Bien na Marioo Nigeria nani atajua Marioo huko?
Jamaa ni lipumbavu na liko kubishana hadi na vitu ambavyo kimsingi vipo wazi. Linanikwaza sana.Sasa top 10 huyo msanii wao hayupo, wakuu kuna baadhi ya mada tusiwe tunawajibu, ni ujinga.
Wewe mbwigambwiga nairobae njoo ujibu huku!Bien ndiyo nani?
Hio swali uliza wasaani wenu huko bongoslum, watakupa jibu.Wewe mbwigambwiga nairobae njoo ujibu huku!
Hao watu watanzania waache kufanya nao kazi. Wapo stupid sana.Hebu tuprove ukubwa wa Bien Vs Marioo.
Tatizo lenu mnaongea sana.
Let's start with YouTube.
Bien joined YouTube 2012 and these are the results
View attachment 3252163View attachment 3252164
Let's see Marioo from Tanzania
Alijoin YouTube 2018
And these are results
View attachment 3252165View attachment 3252166
Ok. Who is big and popular on YouTube?
Labda utasema oh! watz ni YouTube tu.
Ok, lets go to IG,
Huyu ni BienView attachment 3252172
Huyu ni Marioo! Ok nani mkubwa
View attachment 3252170
Endelea kuchekacheka sasa.
wakitaka lifanikiwe kwa wakat wapunguze bei ya umeme na waondoe kodi au kupunguza kodi kwenye gas accordingly nje ya hapo tunatwanga maji kwenye kinu
Zitapunguawakitaka lifanikiwe kwa wakat wapunguze bei ya umeme na waondoe kodi au kupunguza kodi kwenye gas accordingly nje ya hapo tunatwanga maji kwenye kinu
refilling gas of 6kg ni around 25,000 bado ni pesa nyingi kwa maisha ya mtanzania
Yaani Top 10 Artists in Kenya 7 ni Tanzanians! Na hiyo ni this February!Huu ni uongo, kwanini unapenda kudanganya wewe.?
Hata tukiangalia chats za mziki kenya still marioo ako na shabiki wengi in kenya than bien.
Ni ukweli usiofichika kwamba bien alikua mkubwa, hata kabla marioo hajatoka, lakini mziki it is all about rotation. Sahii mziki wa marioo ndio uko kwene peak kuliko mziki wa Bien. Marioo enjoys the big fanbase in kenya than even in Tz. For instance hizi hapa chats za boomplay in kenya. ππΎ
View: https://www.instagram.com/p/DGVUTa6thuY/?igsh=MXd1MG5zaHBybjdzdA==.. Hizi hapa chats za Audiomack. ππΎ
View: https://www.instagram.com/p/DF-3PCnsFUr/?img_index=1&igsh=dGM5dW5mam95MWpt. Album ya marioo βGod sonβ inafanya vizuri kenya kuliko hata Tz.
Ndio Hayo makubaliano yaliyosainiwa lakini ni ya upembuzi yakinifu lakini!Uwanja wa kimataifa au mm ndiyo sijaelewa