Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kick of a died horse (Kenya) Sasa hivi wanafanya njia zozote ili kuwachafua wasanii wa Tanzania.

View attachment 3252483
Wafanye kwani wameanza Leo? Umesahau December Nairobi walivyomfanyia Diamond? Tangu December mpaka Leo Diamond kaitwa kwenye private performance Mombasa kapewa deal la Airtel for the whole Africa na Jana kashinda Trace award for Africa! Na ka-release around 2 singles zinazofanya vizuri!
 
Wazee wa tandale ni nani anataka kuona picha yangu? Mbona mnahangaika kuitafuta online si muulizie tu, which primitive idiot will go first?
 
Sa ni njaa mno, na hakuna mshikamano kwa lolote. Ndoa za Tanzania ni mshikamano kufanikishiana, utaratibu na aina hii ya maisha ni Tanzania pekee. Watu wa kila randi na kabila hukutana na kuhakikisha mwingine anafanikisha jambo lake na linafanikishwa kibabae sana. Nyie hamna lolote la kutufundisha kuhusu maisha bora. SA ni ukabila na ubaguzi wa rangi plus umasikini wa kutisha, same kama Kenya.
 
Ulitaka kudanganya nikakuexposeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Alafu mimi sio Victor, and i’m not Kalenjin. So try again.
Victor, mimi sio muongo na siwezi kudanganya maisha nimeishi. Kupinga nilicho andika ni wazi kuwa wewe ndio muongo na huna uelewa juu wa yale mambo.
 
Mbona tuhangaike wakati taarifa zako tunazo na tunajua pa kuzipata!
View attachment 3252553

Hio inakusaidia aje? Hio ni picha? Si uzipost hapa basi mbona mnapost picha za zamani πŸ˜‚πŸ˜‚ post it idiot, ama umepata ni private? Send a follow request using a pseudo, i will accept, but remember I am straight sawa?
 
Hio inakusaidia aje? Hio ni picha? Si uzipost hapa basi mbona mnapost picha za zamani πŸ˜‚πŸ˜‚ post it idiot, ama umepata ni private? Send a follow request using a pseudo, i will accept, but remember I am straight sawa?
Swine,kutoka kukataa sio ww,mpaka kudai picha zinazopostiwa za zamani,***** unaonekana una dhiki balaa,sijui kama hata unaweza kuafford milo 2 hapo kibera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…