ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sera ya Nishati safi tayari imetungwa ,Kuna mkakati mkubwa zaidi ya sera ?labda mpango wa uchaguzi tu huwez kua na ndoto kama huna mikakati maalumu ya haraka, huwez kugawa mitungi ya gas bure kwa watu wachache wakat gas yenyewe ni ghali sana, huwez kutaka watu watumie nishati mbadala wakat bei ya umeme iko juu sana na huku tunajisifu kua tuna vyanzo vya kuzalisha umeme rahisi zaidi kama hydro, kwa sasa tuongelee siasa za uchaguzi tu πππ
yani mm hua nashangaa sana naskia tanga bodaboda jana wamewekewa mafuta ya elf 5 na posho elf 20 wajaze msafara wa mama, chakula jana kimegaiwa bure kabisa mchana na usiku, maji ya kunywa ya GSM semi trela mbili mpaka watu wanaondoka na carton za maji, hel jana zimemwagwa kama upupu watu wajaze uwanja wa mkwakwaniππππ», bus zakutosha zimewatoa watu vijijini huko naskia mwenyekiti akifikisha watu 10 apige simu gari linakuja kuwazoa kuwaleta uwanjaniHawa watu wanachekesha sana. Yaani nisafiri kutoka mkoani au nchi jirani halafu nianze kununua vitu saa sita au nane usiku?!! Mambo ya 24hrs wawaachie super market na wauza chips na huwa inakuja naturally sio kwa uchawa.
sheria imetungwa lini wakat agenda ya nishati safi iko toka kwa kikwete hukoππSera ya Nishati safi tayari imetungwa ,Kuna mkakati mkubwa zaidi ya sera ?
Hujui kitu wewe hater,sio tuu kutungwa Bali ilishazinduliwa na Rais.sheria imetungwa lini wakat agenda ya nishati safi iko toka kwa kikwete hukoππ
bunge limezungumza nishati safi zaidi ya miaka 20 haya hio mikakati iko wapi ikiwa umeme tu mpaka leo hauko stable mjini watu wanazima na kukata umeme vile wanavojiskia
shida sio kufanya kazi usiku je tumeweka mikakati madhubuti ya watu kufanya kazi usiku hapo ndipo kwenye shida kila mmoja anaogopa kufungua duka usiku, camera zenyewe hata 30 sijui kama zinafikaπππππ»ππ»ππ»ππ»Hapo mkuu unakosea.
Wateja huwa wanakujaga kununua usiku, na mizigo huwa inaingia usiku pia, 24/7 ni muarobaini wa kupiga pesa kk. Wakitoa ulinzi wa kutosha, uchumi utakua sana. Kariakoo muda hautoshi kaka.
πππππππππππππππHujui kitu wewe hater,sio tuu kutungwa Bali ilishazinduliwa na Rais.
unajua foundation ya 20 floors inavokaa ww engineer wa githeri na jabaπππUnajua nini kuhusu buildings za 20 floors? Kuna any 20 floor in Tanzania being built utuonyeshe?
Buxton is 20 buildings each 20 floors.
Mbona hayo hatujawahi yaona Mikoa mingine kote alikofanya ziara kuanzia Moro,Katavi,Rukwa,Ruvuma nk ila iwe Tanga tuu?yani mm hua nashangaa sana naskia tanga bodaboda jana wamewekewa mafuta ya elf 5 na posho elf 20 wajaze msafara wa mama, chakula jana kimegaiwa bure kabisa mchana na usiku, maji ya kunywa ya GSM semi trela mbili mpaka watu wanaondoka na carton za maji, hel jana zimemwagwa kama upupu watu wajaze uwanja wa mkwakwaniππππ», bus zakutosha zimewatoa watu vijijini huko naskia mwenyekiti akifikisha watu 10 apige simu gari linakuja kuwazoa kuwaleta uwanjani
swali langu kwann inatumika nguvu nyingi sana sana wakat upinzani wenyewe ni kama hakuna πππππ»ππ»ππ»ππ»
ChoiceVariable πππ
Kuna ukweli upi unataka tofauti na huu mikakati ambao unauliza? πππππππππππππππππ
tatizo letu sisi hatupendi ukweli na huo ndio ukweli sasa, swala la nishati safi ni la leo kweli???
Ni suala la mazoea tuu Wala halina uhusiano na hayo unayoongea kisa chuki binafsi.Hawa watu wanachekesha sana. Yaani nisafiri kutoka mkoani au nchi jirani halafu nianze kununua vitu saa sita au nane usiku?!! Mambo ya 24hrs wawaachie super market na wauza chips na huwa inakuja naturally sio kwa uchawa.
hehehe kaka napata tabu sana kuona kwann nguvu nyingi sana inatumika this time, tunakimbilia kuanzisha miradi ovyo ambayo haimaliziaki leo wala kesho lengo tu watu wapate 10% zao walale mbele ππSio hiyo tu, juzi jiwe la msingi limewekwa kwenye barabara iliotakiwa kuisha miaka mi 3 iliopita kule Tanga! Watu hawako serious kabisa!! Kama hiyo barabara ya ilala, kama hawakuwa tayari si wangiacha tu, kuliko kufanya ujinga ule!!
nishati safi mjadala haujaanza leo wala jana toka kikwete wanaongelea nishati safi na nimekwambia kugawa mitungi kwa wachache sio suluhisho, isipokua tulitakiwa kua na mikakati ya kupunguza bei ya umeme na gas yenyewe kabla ya kugawa mitungi bure kwa watu wachacheKuna ukweli upi unataka tofauti na huu mikakati ambao unauliza? ππ
View attachment 3254295
Aliyekuwa hapendi ukweli Kwa Sasa ni marehemu so usijumuishe wote.
Hater uko out of touch kabisa.
lugha za uchaguzi nenda ukapite njia ya kutoka tanga mjini kwenda pangani ilivokua mbovu na inamiaka mingi sana iko hvo hvo hata kuziba mashimo hatuwezi πππππ alaf tunawaza barabara ya segera tanga wakat haina shida yoyote iko vzr kabisaichoboy01 atasema wamepewa ubwabwa ππππ
View: https://www.instagram.com/p/DGpJw1tKOB-/?igsh=bG9kZ3A5cm5tanl1
sasa kama hazitoshi unawaambiaje watu wafanye kazi masaa 24?? yani ni akili ndogo sana, ikiwa hakuna hata traffic usiku wakuwasmamia daladala wanapakia wanaziba njia mpaka kwenye mataa ya msimbazi na hawashtuki hata upige honi 100 hata kama kuna mgonjwa anataka kufa anawaishwa hospitali hawajaliNi suala la mazoea tuu Wala halina uhusiano na hayo unayoongea kisa chuki binafsi.
Bado taa hazitoshi na security cameras ndio zinatarajiwa kuanza kufungwa.
Mwisho haitarajiwi movements kubwa za mchana ziwepo usiku,walau half inatosha.
Ameanza kupata akili. Wewe unazeeka bila akiliUmekuaje siku hizi?
Nishati safi ya kupikia champion ni Mama na Sasa ni ajenda ya Afrikanishati safi mjadala haujaanza leo wala jana toka kikwete wanaongelea nishati safi na nimekwambia kugawa mitungi kwa wachache sio suluhisho, isipokua tulitakiwa kua na mikakati ya kupunguza bei ya umeme na gas yenyewe kabla ya kugawa mitungi bure kwa watu wachache
au kiswahili kigumu mzee ππππ
Hii ndio njia ya kupiga pesa.yani mm hua nashangaa sana naskia tanga bodaboda jana wamewekewa mafuta ya elf 5 na posho elf 20 wajaze msafara wa mama, chakula jana kimegaiwa bure kabisa mchana na usiku, maji ya kunywa ya GSM semi trela mbili mpaka watu wanaondoka na carton za maji, hel jana zimemwagwa kama upupu watu wajaze uwanja wa mkwakwaniππππ», bus zakutosha zimewatoa watu vijijini huko naskia mwenyekiti akifikisha watu 10 apige simu gari linakuja kuwazoa kuwaleta uwanjani
swali langu kwann inatumika nguvu nyingi sana sana wakat upinzani wenyewe ni kama hakuna πππππ»ππ»ππ»ππ»
ChoiceVariable πππ
Hazitoshi sio sawa na hukuna kabisa.Hata hilo la kufunga security cameras na taa Kila Kona ya Nchi ni project ya SSH.sasa kama hazitoshi unawaambiaje watu wafanye kazi masaa 24?? yani ni akili ndogo sana, ikiwa hakuna hata traffic usiku wakuwasmamia daladala wanapakia wanaziba njia mpaka kwenye mataa ya msimbazi na hawashtuki hata upige honi 100 hata kama kuna mgonjwa anataka kufa anawaishwa hospitali hawajali