yani mm hua nashangaa sana naskia tanga bodaboda jana wamewekewa mafuta ya elf 5 na posho elf 20 wajaze msafara wa mama, chakula jana kimegaiwa bure kabisa mchana na usiku, maji ya kunywa ya GSM semi trela mbili mpaka watu wanaondoka na carton za maji, hel jana zimemwagwa kama upupu watu wajaze uwanja wa mkwakwani😂😂🙌🏻, bus zakutosha zimewatoa watu vijijini huko naskia mwenyekiti akifikisha watu 10 apige simu gari linakuja kuwazoa kuwaleta uwanjani
swali langu kwann inatumika nguvu nyingi sana sana wakat upinzani wenyewe ni kama hakuna 😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
ChoiceVariable 😂😂😂