Still ni wrong, inaeleweka machawa wapo kisiasa.Hao ni wafanyakazi wa wa Huaxin cement, usipende kuingia mkenge wa hao wanaharakati.
Siungi mkono uchawa kaka na sijawahi uunga na ndio maana choisi variabo yupo ignored kwenye IDs zake zote. πππStill ni wrong, inaeleweka machawa wapo kisiasa.
It's not good na foreigner kuwa kisiasa huku na bado wanaeleweka wanasumbua.
Hata mimi sipendi machawa. I have ignored her/himSiungi mkono uchawa kaka na sijawahi uunga na ndio maana choisi variabo yupo ignored kwenye IDs zake zote. πππ
Hapo nilikuwa naweka kitu sawa tu.
Yeah, I see foundations of 20 and 30 floors buildings being done here in Nairobi everyday and itβs exactly like that. Wewe Ebu niambie in the last 5 years umeona wapi foundation ya 20 floor buildings ikichimbwa hapo vumbistan.unajua foundation ya 20 floors inavokaa ww engineer wa githeri na jabaπππ
Azam ni Stadium ama Cattle dip?Mwambie sisi tulishafanya kitambo. Mwambie a Google Azam complex, tena iko very visible and professional, sio jua kali kama hiyo yao.
Yes itβs the first, Kama kuna ingine Ebu tuonyeshe. Remember we are talking of stadiums na sio cattle dips.Soon atakuja kuropoka ni the first in east and central......
Tunaongelea serious stadiums na wewe unaleta a 7k seater field? Wapi ya Makwapa Stadium?Uwanja wa amani ndio ulianza ππΎView attachment 3254464View attachment 3254466
Hii ndio njia ya kupiga pesa.
Nakuambia hii mambo ya Kasarani inawauma sanaπππ. Mark my word, Semi Finals za AFCON zitachezwa Kasarani alafu Finals Talanta.Umesema tu Lasarani name written using seats wengine washawaka moto eti ooh, unasema this is the first in East Africa eti ooh we already did it in Amaan Stadium. Hawa majamaa inferiority complex itawaua. π π
Is kasarani serious than amani stadium.? Au umeenza kuchanganyikiwa.? Amani stadium ni aproved CAF standards.Tunaongelea serious stadiums na wewe unaleta a 7k seater field? Wapi ya Makwapa Stadium?
Na wameendaa event juzi hapo Kariakoo..sijui wametumia sh ngap kwenye event ile ya kufungua 24hrs.Hawa watu wanachekesha sana. Yaani nisafiri kutoka mkoani au nchi jirani halafu nianze kununua vitu saa sita au nane usiku?!! Mambo ya 24hrs wawaachie super market na wauza chips na huwa inakuja naturally sio kwa uchawa.
Amani Stadium ni size ya Kwale Stadium, let that sink in in your rotten head.Is kasarani serious than amani stadium.? Au umeenza kuchanganyikiwa.? Amani stadium ni aproved CAF standards.
Wewe ni mpumbavu always. Haya sawa.Amani Stadium ni size ya Kwale Stadium, let that sink in in your rotten head.
Nadhani ni pamoja na Surveillance system!
Sababu nimekuambia ukweli? Najua ukweli is always your bitter pills.Wewe ni mpumbavu always. Haya sawa.