Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Picha Ina BRT unasema ya zamani? 🤣🤣
We maku route ndefu ya brt kivukoni to mbezi ni zaidi ya km 25,na ndani ya dakika 20 unakua ushafika na hapo kuna wanaoshukia njiani,tuambie huko naikundu kwenye public transport km 25 utatumia masaa mangapi?
 
U
Unaogopa Mombasa mpya, imebidii utafute picha za Mombasa old town ujiliwaze na bado hata hio old town bado iko sawa sana.
Mombasa mpya iko wapi? Mombasa yote imejaa nyumba za udongo na makazi holela kushoto kulia, wacha ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…