Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This response above can be summarized in two ways: either you didn’t comprehend what I was saying or you agree with me that Nairobi trees is a good thing . Capiche?..😁😁
 
You must have few lose screws in your head. It's normal during rush hour. This is my last response.
 
Wewe na nani ambao mlipewa kazi ya kusema huu ni mkataba mzuri au mbaya? 😁😁

Hii ni bei kubwa au ndogo? 😁😁

Acha ujinga
tulielezewa na kwa tanzania hii awamu ya mkwere inaeleweka mambo yalisainiwa ovyo ovyo hata siwez kukataaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

watu walikua wanafunga bara nzima yote ni pesa za ufisadi na rushwa au nadanganya?
 
tulielezewa na kwa tanzania hii awamu ya mkwere inaeleweka mambo yalisainiwa ovyo ovyo hata siwez kukataaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

watu walikua wanafunga bara nzima yote ni pesa za ufisadi na rushwa au nadanganya?
Ovyo ovyo ndio inakuaje?

Mlielezewa na nani na Sasa hivi mnaelezewa na nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…