Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Exposure ipi.? Ushawahi kufika US wewe? Ukitoa moshi ulikooenda ni wapi pengine ulienda.? 🀣🀣🀣 yani kufika moshi tayari ushajiona kana kwamba umetembea US. 🀣🀣🀣 jamaa jinga hili.
Kuna ile application ya search by picture ndiyo kaitumia tayari ana exposure 🀣🀣🀣🀣
 
mm nishatembea kenya nzima sehemu sijafika kenya ni huko turkana na lamu sasa sijui utanidanganya nn ww kunguniπŸ˜‚
Lamu nilifika 2017,kuna cousin wangu ameolewa huko,aisee,kuna umaskini wa kutisha,ule mchele wanaokula watu wa lamu ni huruma,binafsi nilikula ili kutomlate down my cousin,kenya kuna umasikini aisee!
 
Wameanza kupika data 😭
 
kwann idadi ya watalii wa nje imezidiwa sana namna hio kuna shida gani???
Kwa sababu Watanzania mama ameimarisha kipato Cha Watanzania

Kwa sababu Watanzania Sasa wanaelewa kwamba Utalii sio kusubiria wageni.

Mwisho African Countries ndio zimechangia watalii wengi zaidi kwenye namba hiyo ya Watalii wa Nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…