concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 3,379
- 6,624
Kosoa bila ghadhabu shida Iko wapi ? Na wewe kosoa acha kujifanya unajuaww nae punguza sana ujuaji unajifanya unajua sana kuliko wote humu ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosoa bila ghadhabu shida Iko wapi ? Na wewe kosoa acha kujifanya unajuaww nae punguza sana ujuaji unajifanya unajua sana kuliko wote humu ndani
atokee mkenya aniletee modern streets and suburb kama hzi nje ya nairobi
😂😂😂😂😂😂😂
View: https://youtu.be/O0QxkF4maVo?si=xGbtogQDoFyjxiW0
View: https://youtu.be/EcerXInRAH4?si=HjE0ibof-277MB0J
View: https://youtu.be/fZLACUZs6UI?si=-PZTN5P95jAGg3GI
View: https://youtu.be/bbsjJefMN8A?si=KQZh1kRTr00S_Ie8
View: https://youtu.be/yrpdwf8Peeo?si=5E-QNN068hjxhoi2
View: https://youtu.be/zwTdaCVBFm0?si=TeLvRtIi4Ey0sVOv
View: https://youtu.be/qZOh6eviDoI?si=LzBPCiC27_9pk9-t
Kuna ile application ya search by picture ndiyo kaitumia tayari ana exposure 🤣🤣🤣🤣Exposure ipi.? Ushawahi kufika US wewe? Ukitoa moshi ulikooenda ni wapi pengine ulienda.? 🤣🤣🤣 yani kufika moshi tayari ushajiona kana kwamba umetembea US. 🤣🤣🤣 jamaa jinga hili.
Lamu nilifika 2017,kuna cousin wangu ameolewa huko,aisee,kuna umaskini wa kutisha,ule mchele wanaokula watu wa lamu ni huruma,binafsi nilikula ili kutomlate down my cousin,kenya kuna umasikini aisee!mm nishatembea kenya nzima sehemu sijafika kenya ni huko turkana na lamu sasa sijui utanidanganya nn ww kunguni😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kosoa bila ghadhabu shida Iko wapi ? Na wewe kosoa acha kujifanya unajua
kama inauma nambie nichomoe😂😂Barabara za vumbi ndio unatupigia nazo kelele?
Wameanza kupika data 😭Mmekuwa visited na watu 5.36M na international total airport passengers (both leaving and entering and both international and local) hawafiki 5M, kwani hao tourists walikuwa wanaingilia wapi.🤣🤣 Hii ndio shita ya kutumiwa Twitter kama source of information.
Kundustan mna akili ndogo sana kuhusu concept ya Utalii 👇👇Mmekuwa visited na watu 5.36M na international total airport passengers (both leaving and entering and both international and local) hawafiki 5M, kwani hao tourists walikuwa wanaingilia wapi.🤣🤣 Hii ndio shita ya kutumiwa Twitter kama source of information.
Kundustan mna akili ndogo sana kuhusu concept ya Utalii 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DFhajv-N47p/?igsh=dDV4YjEzM2lxMWV6
Kwa sababu Watanzania mama ameimarisha kipato Cha Watanzaniakwann idadi ya watalii wa nje imezidiwa sana namna hio kuna shida gani???