REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 2,293
- 8,231
Walionunua ni TRC kwakua walidhani mpya zingechelewa. Urefu haujazidi wewe.Hayo mabehewa hayavuki hata moro kwa taarifa yako maana urefu yamezidi na hayawez pita kwenye mahandak ya kilosa . Sasa mwendazake wakati alazimisha tulipe kwa cash hakujua hilo?
Acha kutapatapa Sasa hii taarifa Yako Ina mikakati au matanazo ya serikali kununua korosho Kwa Kupeleka wajeda kusomba 😂😂hio korosho unayoisifu leo iliwekewa mikakati maalumu na walifanikiwa mpaka kutumia bandari ya mtwara kama key port yao au urongooo😂😂😂😂😂
hakuna habari yoyote so far kinachoendelea tumeridhika na uchawa tu 😂Ziko 30 hizi huko Ujerumani.
Kama lilufanywa na mkaliwekea mikakati kama unavyoleta stori za propaganda bila namba iweje halipo kwenye mazao yanayoleta pesa za kuzidi Nchini?sema sisi ni wasahaulifu sana na yote uchawa na ujinga umetujaa vichwani😂😂
hilo zao unalolitaja lilifanywa kua zao kuu la 6 la biashara na huyo huyo usompenda aliewanyoosha mpaka nchi ikanyooka 😂😂😂
View: https://www.youtube.com/watch?v=_8gjaH6-VZM
simulikataa kununua akasema serekali itanunua kwa bei ya 3300 jambo ambalo halijawah kutokea toka tumepata uhuru😂😂Acha kutapatapa Sasa hii taarifa Yako Ina mikakati au matanazo ya serikali kununua korosho Kwa Kupeleka wajeda kusomba 😂😂
Weka hapa mikakati ya awamu ya 5 iliyopaisha korosho maana bei ilikuwa buku jero kabla ya matangazo ya Kisiasa baada ya wanunuzi kuweka ngumu 😂😂
Mwisho kwani saizi umewahi sikia korosho imedoda au serikali inanunua na kutuma Jeshi kusomba 😂 😂 😂
si mumerudisha mafisadi juu ya meza unafkiri wafanybiashara wanaoleta mafuta ya kula watashangilia na watakubali mazao ya michikichi yapandwe na kiwanda kijengwe? 😂😂😂😂😂Kama lilufanywa na mkaliwekea mikakati kama unavyoleta stori za propaganda bila namba iweje halipo kwenye mazao yanayoleta pesa za kuzidi Nchini?
Hii ni enzi ya moiHiyo picha nimeisave. Nitaipost in a few weeks hapa nitaambiwa ni ya enzi zile za Mkapa. Mark my words. 😂 😂
Umesikia wapi wafanyabiashara wanaolima alizeti na ufuta wakisema mafisadi wamewanyima soko ?si mumerudisha mafisadi juu ya meza unafkiri wafanybiashara wanaoleta mafuta ya kula watashangilia na watakubali mazao ya michikichi yapandwe na kiwanda kijengwe? 😂😂😂😂😂
wakat mwengine nchi inaongozwa kwa maamuzi magumu sana
Sema mliua sekta binafsi unajizunguaha zungusha Kwa nini?simulikataa kununua akasema serekali itanunua kwa bei ya 3300 jambo ambalo halijawah kutokea toka tumepata uhuru😂😂
haiwezi doda kwa sasa kwasababu mipango mikakti iliandaliwa vzr kwa kuondoa madalali katikati ya biashara na kuufanya biashara ya moja kwa moja kutoka kwa wakulima, hapo biashara itadoda vp wakat hao hao madalali ndio walikua wanakwamisha biashara 😂😂😂
yani tumesahau kabisa🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Kumbe hio 5 million ina include domestic tourists. 🤣 🤣 🤣 WTF, bongoslum mpunguze jokes hata kama ni campaign munafanyia huyo mama yenu.Kundustan mna akili ndogo sana kuhusu concept ya Utalii 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DFhajv-N47p/?igsh=dDV4YjEzM2lxMWV6
Is it an excuse or are you imitating US capital, Washington DC…. I bet the latter..🤪Dodoma is not for tall buildings.
Chassis ya Isuzu canter!
hakuna habari yoyote so far kinachoendelea tumeridhika na uchawa tu 😂
Mumeshapigwa za Uso Kundustan ha inajifariji tuuKumbe hio 5 million ina include domestic tourists. 🤣 🤣 🤣 WTF, bongoslum mpunguze jokes hata kama ni campaign munafanyia huyo mama yenu.