Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha kutapatapa Sasa hii taarifa Yako Ina mikakati au matanazo ya serikali kununua korosho Kwa Kupeleka wajeda kusomba 😂😂

Weka hapa mikakati ya awamu ya 5 iliyopaisha korosho maana bei ilikuwa buku jero kabla ya matangazo ya Kisiasa baada ya wanunuzi kuweka ngumu 😂😂

Mwisho kwani saizi umewahi sikia korosho imedoda au serikali inanunua na kutuma Jeshi kusomba 😂 😂 😂
 
Kama lilufanywa na mkaliwekea mikakati kama unavyoleta stori za propaganda bila namba iweje halipo kwenye mazao yanayoleta pesa za kuzidi Nchini?
 
simulikataa kununua akasema serekali itanunua kwa bei ya 3300 jambo ambalo halijawah kutokea toka tumepata uhuru😂😂

haiwezi doda kwa sasa kwasababu mipango mikakti iliandaliwa vzr kwa kuondoa madalali katikati ya biashara na kuufanya biashara ya moja kwa moja kutoka kwa wakulima, hapo biashara itadoda vp wakat hao hao madalali ndio walikua wanakwamisha biashara 😂😂😂

yani tumesahau kabisa🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
 
Kama lilufanywa na mkaliwekea mikakati kama unavyoleta stori za propaganda bila namba iweje halipo kwenye mazao yanayoleta pesa za kuzidi Nchini?
si mumerudisha mafisadi juu ya meza unafkiri wafanybiashara wanaoleta mafuta ya kula watashangilia na watakubali mazao ya michikichi yapandwe na kiwanda kijengwe? 😂😂😂😂😂

wakat mwengine nchi inaongozwa kwa maamuzi magumu sana
 
Umesikia wapi wafanyabiashara wanaolima alizeti na ufuta wakisema mafisadi wamewanyima soko ?

Utopian thinking ndio maana mliharibi uchumi Kwa akili za kijinga kama hizo 😁😁

Sasa kw taarifa Yako tuu Mama ameondoa madalali Kwa njia ifuatayo 👇 👇

View: https://www.instagram.com/reel/DFz7hyNCfwa/?igsh=dzJvN2IyaG1qemh0
 
Sema mliua sekta binafsi unajizunguaha zungusha Kwa nini?

Saizi wananunua tena Kwa bei kubwa Kwa sababu gani? 😁😁

Hadi umeshindwa kueleza hicho unachoitwa mipango mikakati 😆😆
 
Watu hawafungi humu ni kupigizana kelele tu na wachambia karatasi wa kundurenda republic. 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…