zilikua zinaozea mashambani na zingine zinaozea kwenye maghala πππ
leo tunafurahia cargo plane tunakenua na meno yote 32 bila aibu ππππ
mageuzi ya kwanza ni kwenye sheria na katiba alaf ndio utekelezaji sasa, kwan siku hzi unaskia tanzanite inatoka kenya au india ?????
unaenda kuleta mzungu kucheza filamu ya royal tour alaf watalii wanaokuja ni wachache kuliko wanaotoka tanzania na africa πππππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
hvi yule mzungu alichukua bei gani aisee?
alaf tulikua tumelala tunasubiri rehma za MUNGU ππ»ππ»ππ»
View: https://www.instagram.com/p/C_xzeM_NL8A/?igsh=a2twYTI2d2gwdHhj