Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe baboon tangu lini mkaanza kucheza rugby? Wewe hadi vitu hufai kuongelea unapunilia hiyo midomo yako kubwa.

Alafu rank ndio winning a tournament? Mliwin tournament ya FIFA at position at 106?
They should stick to singing, at least they have best vocalists like Diamond platypus and Marion πŸ˜‚
 
Nairobae

1740945287528.jpeg
 
Wewe baboon tangu lini mkaanza kucheza rugby? Wewe hadi vitu hufai kuongelea unapunilia hiyo midomo yako kubwa.

Alafu rank ndio winning a tournament? Mliwin tournament ya FIFA at position at 106?
Mbona kama umekasirika.? 🀣🀣

Umegoma kuleta ranks.?
 
simulikataa kununua akasema serekali itanunua kwa bei ya 3300 jambo ambalo halijawah kutokea toka tumepata uhuruπŸ˜‚πŸ˜‚

haiwezi doda kwa sasa kwasababu mipango mikakti iliandaliwa vzr kwa kuondoa madalali katikati ya biashara na kuufanya biashara ya moja kwa moja kutoka kwa wakulima, hapo biashara itadoda vp wakat hao hao madalali ndio walikua wanakwamisha biashara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

yani tumesahau kabisaπŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»
Halafu watu wakadhurumiwa korosho mpaka kesho Kuna watu bado wanadai.
 
si mumerudisha mafisadi juu ya meza unafkiri wafanybiashara wanaoleta mafuta ya kula watashangilia na watakubali mazao ya michikichi yapandwe na kiwanda kijengwe? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

wakat mwengine nchi inaongozwa kwa maamuzi magumu sana
Kwani umeambiwa ukipeleka mawese yako pale murzah oil hawatanunua? Hayo mawese wanayahitaji sana kwa sabab ndo yanayotumika kuzalisha mafuta yetu Pendwa.
Kwa hivi unavofikiria bas mpaka Leo tungekuwa tunaagiza mchele toka thailand
 
zilikua zinaozea mashambani na zingine zinaozea kwenye maghala πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

leo tunafurahia cargo plane tunakenua na meno yote 32 bila aibu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

mageuzi ya kwanza ni kwenye sheria na katiba alaf ndio utekelezaji sasa, kwan siku hzi unaskia tanzanite inatoka kenya au india ?????

unaenda kuleta mzungu kucheza filamu ya royal tour alaf watalii wanaokuja ni wachache kuliko wanaotoka tanzania na africa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»

hvi yule mzungu alichukua bei gani aisee?


alaf tulikua tumelala tunasubiri rehma za MUNGU πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»

View: https://www.instagram.com/p/C_xzeM_NL8A/?igsh=a2twYTI2d2gwdHhj

Kama mbaazi tu kipindi cha magu zilishuka mpaka tsh 200/kg na bado wanunuzi walikosekana.
Vilevile kwenye soya na kadhalika ,
Leo hii maharage yasafirishwa mpaka India huko na bei imepanda toka 1200tsh songea mpaka 2000 na Huwa inafika mpaka 3000 unaanzaje kusema magu aliwezesha kilimo.
Horticulture exports asilimia kubwa zinaenda ulaya na India by almost a half, sasa lini air Tanzania imepeleka mzigo ulaya ukiwa hata kubali cha kutua hakipo?
 
Jibu swali ,umeona Chikichi kwenye list? Kama hujaona ujue ni masimulizi ya propaganda ndio maana huwezi weka namba.

Pili sheria zipi zilizobadilishwa kuondoa madalali? Nitajie? Maaa nakusubiria ujae kwenye mfumo Ili na Mimi nikuoneshe kilichoondoa madalali.

Mwisho una uhakika sheria za Madini hazijaguswa? Nikuoneshe zilivyoguswa?
Kuna mabadiliko ya mpaka oktoba 2024 ila wamekaririshwa kuwa magu ndo alifanya mabadiliko.
Kuhusu mazao wanazungumzia eti kulikuwa na walanguzi kwahiyo ikabid jwtz wafanye manunuzi walipopeleka sokoni wakajikuta wanakosa pa kuuzia korosho nyingi ikaharibikia maghalani.
Kimechofanya mazao yapande ni unahisi wa kupata leseni za kuexport na minada ya mazao.
Kipindi cha nyuma wanunuzi walikuwa wanaweka tawi dar na kuwapa mawinga wakawanunulie mazao kukawa na wizi mkubwa sana na kwa sabab mawinga nao walikuwa wanataka faida wakawa wanawanyonya wakulima . Sasa hivi manunuzi ananunulia ghalani Tena akiwa kwa idadi anayoitaka akiwa na bei nzuri.
Maghala yamevutia wanunuzi wengi kukimbilia Tanzania kwa sabab mnunuzi anakuwa na uhakika wa mzigo kuliko kutumia mawinga kama nchi zinazotuzunguka
 
Back
Top Bottom