They should stick to singing, at least they have best vocalists like Diamond platypus and Marion πWewe baboon tangu lini mkaanza kucheza rugby? Wewe hadi vitu hufai kuongelea unapunilia hiyo midomo yako kubwa.
Alafu rank ndio winning a tournament? Mliwin tournament ya FIFA at position at 106?
Hata huko pia Bien ashaanza kuwapiga vibare.They should stick to singing, at least they have best vocalists like Diamond platypus and Marion π
Weww umezoea kuvaa nini mzee.?Wewe umezoea kuvaa rugs so ukiona wenye wamevaa decently unabaki ukishangaa.
Mbona kama umekasirika.? π€£π€£Wewe baboon tangu lini mkaanza kucheza rugby? Wewe hadi vitu hufai kuongelea unapunilia hiyo midomo yako kubwa.
Alafu rank ndio winning a tournament? Mliwin tournament ya FIFA at position at 106?
I was being sarcastic for that reason πHata huko pia Bien ashaanza kuwapiga vibare.
No sane person wear rugs Kama zile zako.Weww umezoea kuvaa nini mzee.?
Siku mtashinda any world Tournament njoo tuongee.Mbona kama umekasirika.? π€£π€£
Umegoma kuleta ranks.?
Kumbe hio 5 million ina include domestic tourists. π€£ π€£ π€£ WTF, bongoslum mpunguze jokes hata kama ni campaign munafanyia huyo mama yenu.
Wewe na yeye ni washamba sitawalaumuNo sane person wear rugskama zile zako.
Huyu huwa anatamani sana kufika Nairobi. His is a case of living in denialSema tu huna hela wacha siasa nyingi.
Just post picha yako tuone β¦oh never mindβ¦ nimeiona tayari ..π€£π€£π€£Wewe na yeye ni washamba sitawalaumu
Halafu watu wakadhurumiwa korosho mpaka kesho Kuna watu bado wanadai.simulikataa kununua akasema serekali itanunua kwa bei ya 3300 jambo ambalo halijawah kutokea toka tumepata uhuruππ
haiwezi doda kwa sasa kwasababu mipango mikakti iliandaliwa vzr kwa kuondoa madalali katikati ya biashara na kuufanya biashara ya moja kwa moja kutoka kwa wakulima, hapo biashara itadoda vp wakat hao hao madalali ndio walikua wanakwamisha biashara πππ
yani tumesahau kabisaππ»ππ»ππ»ππ»
Kwani umeambiwa ukipeleka mawese yako pale murzah oil hawatanunua? Hayo mawese wanayahitaji sana kwa sabab ndo yanayotumika kuzalisha mafuta yetu Pendwa.si mumerudisha mafisadi juu ya meza unafkiri wafanybiashara wanaoleta mafuta ya kula watashangilia na watakubali mazao ya michikichi yapandwe na kiwanda kijengwe? πππππ
wakat mwengine nchi inaongozwa kwa maamuzi magumu sana
Kama mbaazi tu kipindi cha magu zilishuka mpaka tsh 200/kg na bado wanunuzi walikosekana.zilikua zinaozea mashambani na zingine zinaozea kwenye maghala πππ
leo tunafurahia cargo plane tunakenua na meno yote 32 bila aibu ππππ
mageuzi ya kwanza ni kwenye sheria na katiba alaf ndio utekelezaji sasa, kwan siku hzi unaskia tanzanite inatoka kenya au india ?????
unaenda kuleta mzungu kucheza filamu ya royal tour alaf watalii wanaokuja ni wachache kuliko wanaotoka tanzania na africa πππππ»ππ»ππ»ππ»ππ»
hvi yule mzungu alichukua bei gani aisee?
alaf tulikua tumelala tunasubiri rehma za MUNGU ππ»ππ»ππ»
View: https://www.instagram.com/p/C_xzeM_NL8A/?igsh=a2twYTI2d2gwdHhj
Kuna mabadiliko ya mpaka oktoba 2024 ila wamekaririshwa kuwa magu ndo alifanya mabadiliko.Jibu swali ,umeona Chikichi kwenye list? Kama hujaona ujue ni masimulizi ya propaganda ndio maana huwezi weka namba.
Pili sheria zipi zilizobadilishwa kuondoa madalali? Nitajie? Maaa nakusubiria ujae kwenye mfumo Ili na Mimi nikuoneshe kilichoondoa madalali.
Mwisho una uhakika sheria za Madini hazijaguswa? Nikuoneshe zilivyoguswa?