Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kamji kadogo sana. 🤣🤣 kamji kadunchu. Eti wanasema kameendelea kuliko Arusha. 🤣🤣. Hapo ndio utajua kama haw wakenya ni wapunbavu.
Na ujue Lolwe estate pale Kisumu pekee ni zaidi ya Mwanza CBD kwa wingi wa ghorofa., a clip isikudanganye uanze kujitekenya.,
1692796378170-1.png
 
Watanzania hatuongei hivyo! Kuongea kama unaimba?
Huwa mnaongea nikama mnalia hivi.., mnasound kizembe kizembe, kama mtu aliye choka na maisha hivi, yaani kaushamba flani.., L is pronounced as R.., mko down Mzee🤣🤣🤣
 
Huwa mnaongea nikama mnalia hivi.., mnasound kizembe kizembe, kama mtu aliye choka na maisha hivi, yaani kaushamba flani.., L is pronounced as R.., mko down Mzee🤣🤣🤣
Kwamba watanzania wana sound kizembe.? 🤣🤣🤣🤣. Ngoja nikupe mifano. This is how Tanzanians talk. 👇🏾 skiliza hii taarifa.
View: https://youtu.be/O5YreNC8eks?si=YUjPGERIKyiFExRi. Halafu skia hizi mungine they do not know neither english no swahili.
 
Back
Top Bottom