Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania hatuongei hivyo! Kuongea kama unaimba?
Huwa mnaongea nikama mnalia hivi.., mnasound kizembe kizembe, kama mtu aliye choka na maisha hivi, yaani kaushamba flani.., L is pronounced as R.., mko down Mzee🤣🤣🤣
 
Huwa mnaongea nikama mnalia hivi.., mnasound kizembe kizembe, kama mtu aliye choka na maisha hivi, yaani kaushamba flani.., L is pronounced as R.., mko down Mzee🤣🤣🤣
hebu leta Mkikuyu aongee Kiswahili au Kiingereza hapa! Mtafute CEO wa Equity Bank!
 
Huwa mnaongea nikama mnalia hivi.., mnasound kizembe kizembe, kama mtu aliye choka na maisha hivi, yaani kaushamba flani.., L is pronounced as R.., mko down Mzee🤣🤣🤣
Kwamba watanzania wana sound kizembe.? 🤣🤣🤣🤣. Ngoja nikupe mifano. This is how Tanzanians talk. 👇🏾 skiliza hii taarifa.
View: https://youtu.be/O5YreNC8eks?si=YUjPGERIKyiFExRi. Halafu skia hizi mungine they do not know neither english no swahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…