Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Nyie mmeshabondwa. Hiyo ndio stori ya mjini kwa sasa😁😁Nyinyi mtabondwa lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mmeshabondwa. Hiyo ndio stori ya mjini kwa sasa😁😁Nyinyi mtabondwa lini?
Aiseee Dodoma ni ya kijani kwa sasa, hawa wanusa gundi wamebaki kulalamika eti nchi yao ni jangwa.Dodoma is coming up. View attachment 3258564View attachment 3258565View attachment 3258570Mji unajengwa bhana.
Unajifariji au siyo. Tuliwaambia Dom hakuna city itatia mguu East and Central Africa when completed.Vumbi nation 🤣🤣🤣🤣
Sio kando ya Nairobi, hata Dar haitogusa kabisa. Dom ni jiji la kisasa, haya mengine ni majiji ya kizamani sn.Ikila lami hii dom, hakuna kamji ka kuiteteresha kando ya Naipori.
Wapande ili wagundue nini? Nimesoma sehemu mtungi wao umenasa kwenye LIMP MODE unajikongoja 16kphHivi hawa wa humu hawapandagi mtungi wao wa changaa! 😂😂😂
Hahha kwani hapo ni Ibadan Nigeria!!!Dodoma is coming up. View attachment 3258564View attachment 3258565View attachment 3258570Mji unajengwa bhana.
Tanzanians and Nigerians build some of the ugly residential houses in Africa. Hizo high pitched roofs hua ugly as f**k.Hahha kwani hapo ni Ibadan Nigeria!!!
Alafu nyinyi mtabondwa how many years from now?Nyie mmeshabondwa. Hiyo ndio stori ya mjini kwa sasa😁😁
Bila filter hapo
Hivi wewe nyang'au unajifanya husikii? Mmeshabondwa na Angola tayari😁😁Alafu nyinyi mtabondwa how many years from now?
Ndinga ni Sheng? Wewe ni kilaza, wakenya mnachelewaga kusikia hizi slangs za Tanzania halafu zikifika kwenu late mnaona kama ninyi ndio mmezianzisha, kama saivi Kunyaland huko mnaitana mkuu mkuu lakini hilo neno limeanzia humu humu JF long time ago, lakini mkenya aliopo kariobangi anafikiri ni Sheng hiyo, hata mdau etc hamnaga akili ninyi.Eti 'ndinga'🤣🤣🤣🤣🤣🤣, sheng ya zamani sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.., miTanzania 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.,
So hii ndio stadium inapatikana ndani ya Moja ya 'majiji' yenu? Watu wananyeshewa na kupigwa na jua? Aibu iliyoje! Even Kirigiti Stadium in Kiambu town is better
Nyinyi mtabondwa na Angola lini bongolala?Hivi wewe nyang'au unajifanya husikii? Mmeshabondwa na Angola tayari😁😁
Rais amesema baada ya kukamilisha viwanja vya Afcon kazi itahamia kwenye hivi viwanja vinginevyo so stay tunedSo hii ndio stadium inapatikana ndani ya Moja ya 'majiji' yenu? Watu wananyeshewa na kupigwa na jua? Aibu iliyoje! Even Kirigiti Stadium in Kiambu town is better View attachment 3258719