Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

And you believed? Ebu tuonyeshe anybody else talking about it tofauti with that fat idiot. The guy always demonize everything in Kenya. The way I know Kenyans, SGR can’t move a speed of 16km/h na wakose kupiga kelele. Kitu Kama hiyo ingefanyika saa SGR ingekuwa inatrend pale X.


Anyway I know most of you are idiots and will believe anything.
 
Dinga is a shenanigans word used in Kenya between 1990’s to 2005. Imefika Tanzania Juzi saa hii kila mtu anataka kuitumia.

The word mkubwa imekuwa ikitumika Kenya since early 2000’s. Siku mtaanza kutumia the word kinembe najua mtasema imeanzia Tanzania pia.
 
Mombasa hakuna sehemu nyingine zaidi ya hii? Maana picha inarudiwa since 2017 mpaka leo picha ni hiyo hiyo moja, ukitoka hapo unaweka zile ghorofa za udongo na banduli mtambo kwisha habari.
Eneo hilo linaitwa aje? Ama unaweza tuma picha ya hio eneo iliyopostiwa huku before?
 
Talanta Stadium.








Bro this thing is huge! Initially I thought that area was a small space to undertake a project such as a stadium but now that it’s at this level, you realize how massive the structure itself is, especially in person.
Some interesting things to note :
1. For scale, The bottom arrow is a truck mounted crane
2. saii ndio wanajenga the outer pillars zile zita support the outer facade or cladding meaning itll appear wider than it already is.
3. The top tier is indicated by the upper arrow, so roof height hasn’t been achieved yet
 
Amsons is chopping all the money for cement used! Mind u it's Tanzanian company!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…