The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Hawa jamaa wanatia aibu aisee, mpaka leo hawana automatic doors? Huku kwetu hata vile viwanja vya mikoani huko ni automatic.mlango wa international airport inayotegemewa kenya nzima😂😂😂
View attachment 3260833
Kuna siku aliweka picha za kutengeneza za mkenya akiwa America's Got Talent, nilimdharau sn.uongo mtupu hio picha alipiga akiwa US pumbavu nyinyi 😂😂😂😂😂 na sio kua amenunua no way alikua anapiga picha
au unafkiri unaeza kutudanganya sisi?
Hakaelewi chochote kuhusu customs ni kabishi ka kakuzaliwa kachokoraa hako.Kumbe ports zenu ziko outdated namna hiyo!? Unafanya customs verification kwa mzigo ambao ni wa Transit for what? Unajua dhumuni la kufanya customs verification ni nini!?
Hizo container za Transit huwa zinapita kwenye scanners tu. Hakuna haja ya kufungua seal za container maana documents za mteja zina onesha seal number. Sasa unakata seals then mteja unamuwekea seals gani hapo tena!?
Nilipoona hilo kofia tu nikaacha hapo hapo kusoma, nchi imejaa wajinga sn hii.
On transit to DRC.unaumwa mavi wewe 😂😂😂😂😂
so ww unaumia kuona cybertruck bongo?
Maybe kwa ndoto. Ebu tuambie the name of a company making those bullets.Hapa bongo tumeanza kutengeneza hizo risasi na light weapons toka 1970s pale Morogoro. Sasa hivi tuko kwenye missiles na milipuko mikubwa. RPG na makombora ya kutosha yapo pale.
Na ubora wa risasi za Moro unajulikana kwa M23 ile battle ya FIB chini ya Gen mwaki...
Kwa hivo inamaanisha Mcongo hawezi akaimport from Dar? Wacha ufala. Kama kuna Wavumbistan wanaimport from Mombasa na mko na Port zenu.Hivi unajua logistic ya kutoka eastern DRC kwenda Kinshasa? Eastern DRC wanatumia Dar port ila si Kinshasa!
Majamaa hubisha kitu iko live. 😂 😂Hilo neno utatumia saa ngapi na busy kukimbizana na wezi. Everybody in Tanzania uses the word manzi.
View: https://x.com/BingwaIK/status/1897335769242722600
Mkongo kutoka kinshasa an import gari kupitia Dar.? 🤣🤣🤣 do you know the distance from kinshasa to Dar es Salaam. Why not using their port.?Kwa hivo inamaanisha Mcongo hawezi akaimport from Dar? Wacha ufala. Kama kuna Wavumbistan wanaimport from Mombasa na mko na Port zenu.
Singeleta hizo tweets bado wangeendelea kupinga😂😂Majamaa hubisha kitu iko live. 😂 😂
Hakaelewi chochote kuhusu customs ni kabishi ka kakuzaliwa kachokoraa hako.
It’s now Two weeks since hiyo gari ionekane kwa port, Ebu tuonyeshe sasa picha yake ikiwa Tanzania either on the road or parked somewhere.Mkongo kutoka kinshasa an import gari kupitia Dar.? 🤣🤣🤣 do you know the distance from kinshasa to Dar es Salaam. Why not using their port.?
Nyie mnatuchukuliaje kwani.? 🤣🤣
Mbona huwa mkiambiwa ukweli mnakasirika?Ana ubishi wa kifala sana...
Maybe kwa ndoto. Ebu tuambie the name of a company making those bullets.
Mbona huwa mkiambiwa ukweli mnakasirika?
Nimeangalia na hakuna anything nimeona hapo. Obviously there is no production going on there.Ungeuliza tu politely ufunzwe.... Mbona ni kawaida tu sanaa kijana.
Jaribu kutafuta habari za Mzinga Corp. Morogoro.
Geza wakatu mwingine unakuanga na reasoning ambayo sijui ni ya kujitakia au…Wacha upumbavu yani mtu a-import gari Dar port iende Kinshasa kama vile Kinsasha hakuna bandari?