Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe ports zenu ziko outdated namna hiyo!? Unafanya customs verification kwa mzigo ambao ni wa Transit for what? Unajua dhumuni la kufanya customs verification ni nini!?

Hizo container za Transit huwa zinapita kwenye scanners tu. Hakuna haja ya kufungua seal za container maana documents za mteja zina onesha seal number. Sasa unakata seals then mteja unamuwekea seals gani hapo tena!?
Hakaelewi chochote kuhusu customs ni kabishi ka kakuzaliwa kachokoraa hako.
 
Hapa bongo tumeanza kutengeneza hizo risasi na light weapons toka 1970s pale Morogoro. Sasa hivi tuko kwenye missiles na milipuko mikubwa. RPG na makombora ya kutosha yapo pale.

Na ubora wa risasi za Moro unajulikana kwa M23 ile battle ya FIB chini ya Gen mwaki...
Maybe kwa ndoto. Ebu tuambie the name of a company making those bullets.
 
Hivi unajua logistic ya kutoka eastern DRC kwenda Kinshasa? Eastern DRC wanatumia Dar port ila si Kinshasa!
Kwa hivo inamaanisha Mcongo hawezi akaimport from Dar? Wacha ufala. Kama kuna Wavumbistan wanaimport from Mombasa na mko na Port zenu.
 
Kwa hivo inamaanisha Mcongo hawezi akaimport from Dar? Wacha ufala. Kama kuna Wavumbistan wanaimport from Mombasa na mko na Port zenu.
Mkongo kutoka kinshasa an import gari kupitia Dar.? 🤣🤣🤣 do you know the distance from kinshasa to Dar es Salaam. Why not using their port.?

Nyie mnatuchukuliaje kwani.? 🤣🤣
 
Mkongo kutoka kinshasa an import gari kupitia Dar.? 🤣🤣🤣 do you know the distance from kinshasa to Dar es Salaam. Why not using their port.?

Nyie mnatuchukuliaje kwani.? 🤣🤣
It’s now Two weeks since hiyo gari ionekane kwa port, Ebu tuonyeshe sasa picha yake ikiwa Tanzania either on the road or parked somewhere.
 
Mbona huwa mkiambiwa ukweli mnakasirika?

Nimekuuliza uniambie purpose za customs verification and why is conducted haujasemaa...

Pia Nimekuuliza, shipping documents kama BL huwa inaweka seal numbers za container. Sasa una fungua container la mteja unakata seal halafu unaweka mpya? Ikitokea shida mteja aka kataa mzigo wake hiyo burden inakuwa ya nani na seal umeshakata!?

Hapa bongo kwa container za Transit zinapita scanner tu kupigwa picha.
 
Ungeuliza tu politely ufunzwe.... Mbona ni kawaida tu sanaa kijana.

Jaribu kutafuta habari za Mzinga Corp. Morogoro.
Nimeangalia na hakuna anything nimeona hapo. Obviously there is no production going on there.
 
Back
Top Bottom