Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sema tu wewe ni mkundurenda kisha ingia kwenye mjadala kwani unaishi slum gani hapo nairopori
 
kuna ukumbusho wenu huku machawa wa mama πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»


View: https://www.instagram.com/reel/DG0MrIVqNVJ/?igsh=MXQ5OXg4Yms4dmluMA==


baada ya kuumbuliwa sasa tanroads wakaja na jambo lao

View: https://www.instagram.com/reel/DG5diLAoM4Z/?igsh=MWxyMG5nMDU2aHJwNQ==


baaada ya muda waziri wa ujezi naye akajibu nakala moja ndefu eti yakumpongeza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


View: https://www.instagram.com/reel/DG3Bj1jKeBP/?igsh=MWd3ZWVvcTVpMnMzMw==
 
kwa kiswahili hicho nikwambie tu asante na karibu jamii forum πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
makampuni ya serekali yakufanya hvo yapo mengi tu kaka, kuna suma jkt, NHC, wakala wa majengo, tanroads etc

na ya binafsi ndio mengi zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…