Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Poa tu twende lile jukwaa letu pendwa achana na wa hapa bana
Poa wangu...ila hawa jamaa sio wa kuwaacha hivihivi.

kuna mda inabidi ujitoe ufahamu ili kuweka heshima sawa.....tayari nimesha wapuuza.
 
National Fibre Optic Cable network (NICTBB)
View attachment 456031

TTCL Internet 4.5G in Dar es salaamView attachment 456032 View attachment 456033 View attachment 456034 View attachment 456035
Ahsante sana Nbi bado wako 3.75 G yani tumewaachia vumbi tu

 
Nairobi wamesonga mbele zaidi... While you were trying to catch up with NRB, Kampala and Mombasa Vroomed past you...... Try Mwanza now.
 

After we beat them, They will start Dar vs Mombasa, We whitewash them, They start Dar es salaam vs Kenya, We Make them powder cake, they abuse us left, right and centre,We sleep,, Then they wake up with Kenya ahead of them and they get Jittery year in year out....... Danganyika Shikamoo
 
For sure Dar is way far and speed tech developing
 

Hicho ni Kiswahili ulichokiandika hapo ama ni Kisukuma?
Eti mnajidai mitanzania na Kiswahili, wapi na wapi?
Aibu tupu!
 
Oya nyie wakenya mbona mnajichetua sana. Hahahaha tumejaribu kwenda point kwa point sasa hivi mmeanza matusi na kutukana ovyo ovyo. Tumeana battle sasa hivi mnalialia na kukenua kenua meno kama vichaa.

Dar es salaam pambano lake ni lazima uuganishe Nairobi na Mombasa.
 
Naii kuzuri kuliko Dar, ila waulize kwa nini wanapapenda sana Dar na Tz kwa ujumla kuliko kwao
 
Huyo ni illegal immigrant amejificha Kenya kuiikimbia njaa na umasikini wa kutisha kule kwao Tanganyika.
Mhamiaji haramu huyo, nahisi huenda ni wale ombaomba wanaoendeleza kero mitaani hapo Kenya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
[emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107]
 
annael,mida ya lunch nitaanza kuweka zile screenshots za maudhi wasizopenda wakenya.

hahahaha huwa nasikia furaha sana kuwachokoza wakenya. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Poa wangu...ila hawa jamaa sio wa kuwaacha hivihivi.

kuna mda inabidi ujitoe ufahamu ili kuweka heshima sawa.....tayari nimesha wapuuza.


Hakuna atakayekuheshimu kwa maandishi kama haya,ni kujidhalililisha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…