Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Le Grande Casino
1171_le-grande-casino-dar-es-salaam.jpeg
2016-12-04 (1).jpg
2016-12-04 (2).jpg
2016-12-04.jpg
bar1.jpg
le_grande_hi_rez-66C87ED2C0B3CF.jpg
le_grande_hi_rez-68F53FEC904EB1.jpg
le-grande-2116EAE64F07C3C.jpg
le-grande-2509D326853F908.jpg
le-grande-20949C24FA543C8.jpg
le-grande-23257CFCFA6067B.jpg
le-grande-23990CC884B8900.jpg
le-grande-casino-dar-es-salaam-tanzania-DCJCD2.jpg
press-play35E1C072C178F.jpg
reception.jpg
slot2.jpg
tables3.jpg
 
Nawasubiri wakurupuke kwanza halafu niwaue.
umeanza vizuri mkuu....big up.baada ya kuweka picha ya zile casino,naona wanatoa udenda,wanatamani wavuke boda waje kula bata dar es salaam.

hii ndio dar es salaam,kitovu cha kula bata east africa.

nairobi unaingia club kupata starehe huku ukihofia kushambuliwa na alshabab au kutekwa na wakora.
there is no guarantee of security in Nairobi.
 
umeanza vizuri mkuu....big up.baada ya kuweka picha ya zile casino,naona wanatoa udenda,wanatamani wavuke boda waje kula bata dar es salaam.

hii ndio dar es salaam,kitovu cha kula bata east africa.

nairobi unaingia club kupata starehe huku ukihofia kushambuliwa na alshabab au kutekwa na wakora.
there is no guarantee of security in Nairobi.
Hapa bongo unakula kwa raha zako. Yaani pesa zako tu.
 
wakenya acheni uoga,wekeni hizo picha za sehemu zenu za starehe. Edward Wanjala and your team,you are disappointing us.
tunasubiri mjibu picha za casino ili battle iendelee.
 
wakenya acheni uoga,wekeni hizo picha za sehemu zenu z starehe.

tunasubiri mjibu picha za casino ili battle iendelee.
Labda tungeanza na bar ndogo ndogo ndio wangekuja mbio. Unajua kwenye universities nilianza na chuo flani cha kawaida halafu nikaweka majengo mabaya. Duh!! Walikuja kwa kasi wakidhani vyuo vyote viko hivyo. Sasa tuliwapa za uso na wakatokomea kabisa.

Sasa hivi tumeanza na mziki mnene sijui kama watatokea.
 
Labda tungeanza na bar ndogo ndogo ndio wangekuja mbio. Unajua kwenye universities nilianza na chuo flani cha kawaida halafu nikaweka majengo mabaya. Duh!! Walikuja kwa kasi wakidhani vyuo vyote viko hivyo. Sasa tuliwapa za uso na wakatokomea kabisa.

Sasa hivi tumeanza na mziki mnene sijui kama watatokea.
Hahaha waanzie kwa kuwawekea picha za ukumbi wa darlive ulioko mbagara.labda watakuja.za ma-casino zinawaogopesha.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Labda tungeanza na bar ndogo ndogo ndio wangekuja mbio. Unajua kwenye universities nilianza na chuo flani cha kawaida halafu nikaweka majengo mabaya. Duh!! Walikuja kwa kasi wakidhani vyuo vyote viko hivyo. Sasa tuliwapa za uso na wakatokomea kabisa.

Sasa hivi tumeanza na mziki mnene sijui kama watatokea.

Lakini kwa vyuo vikuu tulishinda. Wasema nini bongolala wewe. Nairobi ina vyuo vikuu vingi kuliko Dar Es Salaam yote. Your universities look like high schools especially that University of Dar Es Salaam
 
Lakini kwa vyuo vikuu tulishinda. Wasema nini bongolala wewe. Nairobi ina vyuo vikuu vingi kuliko Dar Es Salaam yote. Your universities look like high schools especially that University of Dar Es Salaam
Unafeli sasa mkuu
 
Lakini kwa vyuo vikuu tulishinda. Wasema nini bongolala wewe. Nairobi ina vyuo vikuu vingi kuliko Dar Es Salaam yote. Your universities look like high schools especially that University of Dar Es Salaam
Wewe mbona unataka kulazimisha ushindi? Tatizo wewe hujui hata kutumia mitandao. Halafu unajua search engine ya google tu. Jifunze kutumia mitandao. Pia tafuta web browser ya maana. Sio hizo za chrome zina limitation ya information.
Wewe niambie mmeshinda kwa lipi?
 
Back
Top Bottom