Huwezi battle hii kheri ungekaa kimya maana unaharibu thread yetu.Loading...
290m, 160m, 200m, 280mView attachment 457899 View attachment 457900 View attachment 457903 View attachment 457902 View attachment 457901
relaxx, picha ninazo ni nyingiHuwezi battle hii kheri ungekaa kimya maana unaharibu thread yetu.
Wewe kama unataka kutuharibia thread yetu. Tutakufanyia kitu hapa wewe endelea sasa. Kama mmshindwa mseme sio kuanza kuharibu. Hizo picha tayari zimeshawekwa na sisi tuliweka zetu. Au unataka tukupige T moja?relaxx, picha ninazo ni nyingi
Unataka picha za ni nini??Wewe kama unataka kutuharibia thread yetu. Tutakufanyia kitu hapa wewe endelea sasa. Kama mmshindwa mseme sio kuanza kuharibu. Hizo picha tayari zimeshawekwa na sisi tuliweka zetu. Au unataka tukupige T moja?
kwa hiyo bongoyo island ipo bagamoyo?...hivi upo vizuri kichwani kwako kweli?.[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]Alete vya dsm sasa, bagamoyo inaingiaje? Au kuna island dsm inaitwa bagamoyo?
Sorry, nilisoma vibaya, bagamoyo badala ya bongoyokwa hiyo bongoyo island ipo bagamoyo?...hivi upo vizuri kichwani kwako kweli?.[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Wewe kama unataka kutuharibia thread yetu. Tutakufanyia kitu hapa wewe endelea sasa. Kama mmshindwa mseme sio kuanza kuharibu. Hizo picha tayari zimeshawekwa na sisi tuliweka zetu. Au unataka tukupige T moja?
haha naona na wana braeburn
Hapa bla bla bla watuzihitaji. Maneno meeengi kama mtumbuliwa jipu. Wewe ingia kwenye battle sio maneno maneno.Nashangaa, matajiri wao waliopata bahati nasibu kusomea Kenya enzi zile walisomea shule kama hiyo Braeburn, hawajui hata kilianzia wapi hahahha!.....hata hicho Kampala International Uni. na mengine mengi tu!..hahahahah!
asante kwa kuonyesha uungwana wa kukiri kosa.karibu sana mdau.Sorry, nilisoma vibaya, bagamoyo badala ya bongoyo
blabla plus povu = mvua ya maneno.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115]Nashangaa, matajiri wao waliopata bahati nasibu kusomea Kenya enzi zile walisomea shule kama hiyo Braeburn, hawajui hata kilianzia wapi hahahha!.....hata hicho Kampala International Uni. na mengine mengi tu!..hahahahah!
Tanzania wanaishi vichakani na wanapiga kelele hapaNashangaa, matajiri wao waliopata bahati nasibu kusomea Kenya enzi zile walisomea shule kama hiyo Braeburn, hawajui hata kilianzia wapi hahahha!.....hata hicho Kampala International Uni. na mengine mengi tu!..hahahahah!
Kibera NairobiNairobi tunapenda raga, rugby ndio our national sportView attachment 457926 View attachment 457929 View attachment 457930 View attachment 457931 View attachment 457932 View attachment 457927