Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo bra bra hazina naface hapa. Kwani nani hajaishi Nairobi? Unadhani sisi hatuijui Nairobi?
Nimekwambia acha bra bra. Kama hujui kitu kaa kimya sisi tukuletee. Usijifanye mjuaji wakati hujui. Nimekwambi wewe leta references za Nairobi. Wewe unakuja na maneno ya siasa.
Je?
1. Nairobi kuna BRT?
2. Nairobi kuna Island?
3. Nairobi Kuna uwanja mkubwa wa Taifa?
4. Nairobi kuna fish market?
5. Nairobi kuna daraja kama la Nyerere?
6. Nairobi kuna beaches?
7. Vipi kuhusu hotel za Nairobi na za Dar?

Wewe unakuja na bra bra hapa. Tatizo huna exposure. Umetokea porini na kwenda Nairobi. Sasa umerudi dar na huja wahi hata kutembea zaidi ya kwenda kazini na kurudi nyumbani kwako.


Kwa haya maswali yako unatuaibisha watanzania hapa labda kama umri wako ni chini ya 18 utaeleweka. Ila kama umezidi hapo hata wanaokusapoti hapa watakuwa wanaona aibu
 
Kwa haya maswali yako unatuaibisha watanzania hapa labda kama umri wako ni chini ya 18 utaeleweka. Ila kama umezidi hapo hata wanaokusapoti hapa watakuwa wanaona aibu
Ndugu kwanini usiendelee na mambo yako? Wewe unauhuru wako na mimi nipo na wakwangu. Nimekuambia ulete references. Umebaki kubwabwaja na kukenua kenua meno kama kichaa.
 
Ndugu kwanini usiendelee na mambo yako? Wewe unauhuru wako na mimi nipo na wakwangu. Nimekuambia ulete references. Umebaki kubwabwaja na kukenua kenua meno kama kichaa.
Mimi na wewe nani kichaa? Soma hayo maswali uliyouliza uyatafakari vizuri, kama ww siyo kichaa najua utayafuta. Ukiyaacha utathibitisha hoja yangu.
 
National Fibre Optic Cable network (NICTBB)
download.jpg



TTCL Internet 4.5G in Dar es salaam
1.JPG
b3c85aa091a0f8edf4de70048388f7aa.jpg
download (1).jpg
ICT_Broadband.jpg
 
Kulingana na baadhi ya wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Linganisha na Mombasa bana haina haja kutumalizia wakati! Edit uzi iwe Dar vs Mombasa
 
Hakuna haja kumaliza wakati! Challenge the challengeable !
Huna cha ku challenge wewe zaidi ya kutoa maneno maneno tu. Wewe weka references hapa. Zaidi ya hapo utakuwa unaongea ongea tu na kujipa sifa za kitoto.
 
Baba hata kwenu kubaya tu mimi nahisi ungesema chochote juu ya currently DAR ila naona umeponda mpaka basi, Nairobi imetutukana sana na DAR yetu leo inaenda zaidi ya Nairobi bado hujaona baba!!! Hivi kweli public transport yetu na Nairobi unalinganisha au hukuwahi kwenda Nairobi! Mmmmmmhh haya bhana ila kumbuka kwenu kwenu tu.
Mi mbongo chifu najivunia sana kuwa mbongo. Ukisoma vizuri nilichoandika ni kuwa tulinganishe kiuhalisia si kishabiki.. Sijaponda bongo yangu nimesema maghorofa yanapanda kwa kasi ambayo haiendani na miundombinu kama barabara na reli.. Sasa hapo upondaji uko wapi chifu?
 
Barabara zinajengwa
Mpaka sasa nenda Mataa pale Tazara wapo busy.
Reli ipi unazungumzia !!
Nairobi wana Reli ya mkoloni ambaya hata Dar ipo
Japo wapo kwenye kakipisi ka SGR ka Mombasa to Nairibi
Bado haija fanya kazi kuizungumzia hiyo!!
Hata sisi tenda lipo hewani
Na wakandarasi tayari wamesha jitokeza
Tunaanza na Dar to Moro mwaka huu.

Hakuna kipya Nairobi Dar hakuna kwa sasa
Sijakataa tenda na mipango mikakati endelevu iko mingi sana Bongo (, kama ilivyo Nairobi)., nimeongelea vitu vilivyopo sasa..
 
Back
Top Bottom