GeniSys101
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,229
- 1,465
Hakuna flyovers bongo kwetu mbona iko wazi? Achana na hizo ambazo ziko kwenye drawing boardsWho will comment on this
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna flyovers bongo kwetu mbona iko wazi? Achana na hizo ambazo ziko kwenye drawing boardsWho will comment on this
kuna mtu amesema nna tatizo?umeweka uzi watu wachangangie..ni lazima wachangiaji wote toka tanzania wawe na maoni kama yako?Tatizo lako ni nini sasa?
We are talking about these downAnnael, why dont u today show us the Dar highways, flyovers, footbridges, residential areas.
There is more to a good city than just skyscrapers!
Yani hasira inakufanya uone wakenya wakitusi wabongoKazi ya watu wa Nairobi ni matusi hapa na midharau kaa mbuzi!! Sasa wivu na unafiki unawasumbua watu wa Nairobi kujisifia kumbe zero, Ati Mombasa na DAR wendawazimu kabisa huu, wameshindwa kuja na facts wanaleta maneno ya Khanga hapa.
Mada inajielezea hapo nini cha kufanya ila bado hata kusoma hawawezi kabisa wamekodoa tu, Annel niseme tu unanibariki sana tena sana tu kwa kuwa Mzalendo kwa Nchi yetu wengine hapa ni Bongolise ila sasa hata hawajui kwa nini ni Watanzania nonsense!!
More once again you Kenyans come here bring what you have in Nairobi and we do so then tutaangalia na kujifunza mengi katika haya majiji mawili. Sasa mnaachama nini leta facts mtushinde kwa facts siyo maneno ya Khanga alfu kujisifia kwimgi kumbe, haya mlikuwa mnayaganya miaka mitano iliyopita na sasa mseme tuone!!!
Weka picha wacha maswali mingi...kwani we ni polisi.Yani hasira inakufanya uone wakenya wakitusi wabongo
Tulisema badili uzi uwe Dar vs Mombasa! Hapo tutarejea! Badili tu halafu tutakuja, hata wewe ukitrol, that is your work, but we cant compare Nairobi to Dar period!Annael wakenya wanachungulia na kuondoka...wanaogopa kuingia ulingoni.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Wewe mtz unayeishi mbuga za wanyama za Saadani. Sasa maneno maneno ya nini si uweke picha tuone? Wale ambao hawajafika huko Nairobi watajuaje? Acha mbwembwe wewe.Tuache ubishi usio na tija, huwezi kulinganisha dar na Nairobi, labda dar tulinganishe na kisumu (mm ni mtz but sibishi kiashki majinuni)
Nawaona hapa wanakuja na malalamiko tu. Wakati ni wao jana waliomba hii ligi. Wanaleta maneno maneno tu.Annael wakenya wanachungulia na kuondoka...wanaogopa kuingia ulingoni.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]