Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ati point to point.... Dude are you kidding me? Huwezi linganisha dar na Nairobi labda mombasa... You make me sick but even saying that
 
Ati point to point.... Dude are you kidding me? Huwezi linganisha dar na Nairobi labda mombasa... You make me sick but even saying that

Achana na hawa... They will just take you in cycles for no apparent point...
 
Ati point to point.... Dude are you kidding me? Huwezi linganisha dar na Nairobi labda mombasa... You make me sick but even saying that
Check Ramada Resort Hotel Dar es salaam.
9ee237ad_z.jpg
7071693_5_z.jpg
46511749.jpg
46512453.jpg
46806587.jpg
ramada-resort-19363-d7fd96ba7286461fbe2668dbdf20f5acda9b602c.jpg
 
Nawaona hapa wanakuja na malalamiko tu. Wakati ni wao jana waliomba hii ligi. Wanaleta maneno maneno tu.
Yaani mambo yao ni mawili tu:-
1. Barabara
2. Mbuga iliyo karibu na mji
Zaidi ya hapo hakuna.

Mimi nilitaka tuende point kwa point lakini nimewaona wameishia mitini. Wanaleta hadithi tu.

Kale kabarabara kama kutoka ubungo mpaka Mbagala
Ndio kila siku kelele!!!
 
Kale kabarabara kama kutoka ubungo mpaka Mbagala
Ndio kila siku kelele!!!
Jamaa hawawezi. Sisi hapa tunaleta facts. Wamekimbia wanachungulia tu na kwenda. Kunammoja kajaribu kaona mziki mzito kakimbia bila kuaga.
 
Nairobi 8 Dar 1...Ndukiiii....Hata Kampala inawatoa Jasho. Coming up KAMPALA CITY vs Dareslum.
 
Nairobi 8 Dar 1...Ndukiiii....Hata Kampala inawatoa Jasho. Coming up KAMPALA CITY vs Dareslum.
Now that one ntachangia na roho yangu yote.... Ati dar vs Nairobi.. Speechless
 
Nairobi 8 Dar 1...Ndukiiii....Hata Kampala inawatoa Jasho. Coming up KAMPALA CITY vs Dareslum.
There was a tz guy aliweka pic ya ocean, akasema Nairobi hakuna beach... I was like.. are you mad? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
This is a third rate resort...hakuna cha kujivunia hapa.karibu bamburi,shanzu,nyali,diani tukuonyeshe resorts ni nini
Sasa wewe unaongea maneno tu. Mbona huweki mambo humu. Ukiweka hizo na mimi nitaweka zipo kibao tu hapa dar. Hiyo ni moja tu.
 
Ni dharau... Sasa nikikuambia achana kulinganisha Nairobi na Takataka utapenda hivo??
Basi ngoja ni seme hivi usifananishe dar na upuuzi nadhani imekaa poa
 
Back
Top Bottom