kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
Passion lady karibu ulingoni.naona umechagua kushangilia timu pinzani.basi sawa.Nairobi ni fire....dar bado sanA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Passion lady karibu ulingoni.naona umechagua kushangilia timu pinzani.basi sawa.Nairobi ni fire....dar bado sanA
wanawapenda sana machali wa ktz.Nafanya kazi na demu mmoja wa kenya. ..mazee labda kapendelewa ana msabwanda wa kufa mtu anasumbua wajinga wajinga sana apa kwa ofisi
Mademu wakenya hawajui kupika man hahaha why lakiniwanawapenda sana machali wa ktz.
Ntakupa Level 5 hospitals in NairobiHapa nimeficha silaha zangu nawasubiri waibuke.
Hii haitoshi level 3! Muhimbili sawa hiyo itaingia level 5! Hebu tupe level 5 kadhaa hapo, so far umeleta level five 3 ambayo moja ni referral!! Leta zifike 20!
Hapo ni kweli, lakini wakutoka mombasa wanajua!Mademu wakenya hawajui kupika man hahaha why lakini
Asante kadoda....uko pw Lkn. .long tymPassion lady karibu ulingoni.naona umechagua kushangilia timu pinzani.basi sawa.
ha ha habari ndo hiyo, ushasema yote kumi.Wala sio barabara..tu. ...dar bado haijafikia nrb
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
niko poa sana sijui wewe bibie....hakika ni longtime.
Mie bukher haswaaaniko poa sana sijui wewe bibie....hakika ni longtime.
Kaingia kwenye 18 yako.mnyoshe.Nilikuwa nakusubiri uje ilinikupe za uso. Sasa umekuja.
Mkuu hii ipo maeneo gni?Rabininsia Lima Memorial Hospital Dar es salaam
View attachment 456880 View attachment 456881 View attachment 456882 View attachment 456883 View attachment 456884 View attachment 456885
Yaap! Niorodheshee 20 bora level 5 ksiha nisampolie kadhaa kwa picha apo vipi? Twende!Je umemaliza?
Hizo ni za level 5 na niza kitambo, sijaweka under construction! Halafu unataka niweke picha ya vitu nyingi hivyo?Nataka uweke picha ya hizo hospital sio kutaja majina. Hapa tukitaja majina haina maana yoyote battle ni kuweka picha. Zile zinazojengwa au proposed hatuzihitaji hapa. Mimi nimekuwekea picha kabisaaa.
Wewe kuja tupambane.
Wacha porojo mingi...weka picha.Yaap! Niorodheshee 20 bora level 5 ksiha nisampolie kadhaa kwa picha apo vipi? Twende!
Japo pale juu nimesample 4 out of the manyNataka uweke picha ya hizo hospital sio kutaja majina. Hapa tukitaja majina haina maana yoyote battle ni kuweka picha. Zile zinazojengwa au proposed hatuzihitaji hapa. Mimi nimekuwekea picha kabisaaa.
Wewe kuja tupambane.