Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo battles zenu ngeweka na battle za maeneo ya uswazi wapi wachafu zaidi. Kama unapicha za uswazi tupia hapa
 
Starehe gani. Wewe umesema shopping mall. Basi yaweke tuone huwa mnafanya starehe gani kwenye shopping mall. Maana wakenya akili zenu hazipo sawa kwa sababu ya chang'aa.
Kuna movie theatres, Kuna karaoke n.k. Ama unataka tupost vilabu watu wakidance??
 
naona wakenya wanatulazimisha kutuwekea picha za majengo wakati huko kwenye mjadala wa kupost view ya mji tulishapita.

nadhani sasa ni muda muafaka wa kuangazia suala la usalama kati ya dar na nairobi.

let's post contents that are connecting with security issues hence evaluate which city is in better position of guaranteeing its people maximum security.

annael twende kazi.Mimi naanza kama hivi. latest update
b06e861e35bd3d50c141dc645285b6c8.jpg
 
Hohoho!Kenya iko mbele mpende msipende na tutaendelea kuwabwaga nyie watu tupwatupwa...
 
naona wakenya wanatulazimisha kutuwekea picha za majengo wakati huko kwenye mjadala wa kupost view ya mji tulishapita.

nadhani sasa ni muda muafaka wa kuangazia suala la usalama kati ya dar na nairobi.

let's post contents that are connecting with security issues hence evaluate which city is in better position of guaranteeing its people maximum security.

annael twende kazi.Mimi naanza kama hivi. latest update
b06e861e35bd3d50c141dc645285b6c8.jpg
Mungiki is a dead case na Al Shabaab tuko na intelligence enough ya kudeal na wao.
 
Kwikwikwikwi. Ndio unavyodanganywa na wazungu wako?
Hapa chini ni picha ya Nairobi ambao wajiita ni tajiri. Sisi hapa bongo huwezi kuta ujinga huo.
View attachment 458280

Kwikwikwikwi For a country that has been growing at 7.2% for the last 15 years... You expect it to be largest Economy in the world...... Cooked figures.... Kwikwikwikwi
ChMmBkuWwAE0zOv.jpg
 
Live performance Escape one Dar. Barnaba

 
Belle9 Alivyokinukisha Kwenye Show Ya Kufunga Mwaka Pale Escape One

 
Utapenda dar. Bata huwa analiwa mzima mzima

 
Back
Top Bottom