Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi, the city of East Africa, unlike no other

interchanges.jpg


THIKA-HIGHWAY.jpg


13525304_1068557263232058_1258901787_n.jpg


16908029_497600467294351_155434260851851264_n.jpg


17265637_275840989506587_5803213669797986304_n.jpg


14360214_1112789232144440_1129842052_n.jpg

Southern%20Bypass%209.jpg
 
jamaa wanaushabiki wa bure lakini moyoni mwao wanajua nai ni ya kiwango tofauti na wanaikubali japo kwa siri siri

LOOK AT THIS... THE VERY SOBER VERY ONES KNOW IT
"Watanzania WENZANGU Acheni kujifananisha na Kenya labda kama mnafanya utani. Kenya ni Habari nyingine kwenye ishu ya uchumi na ukuaji wa majiji
tutawapiga kwenye population na vivutio tunayo vingi kuwazid Ila Kwa mji
unaokua Kwa KASI Africa Nairobi inafanya vizuri"
 
JAMANI KINGINE TUANGALIE hawa raia wakikenya je wanaishi nairobi au wapo nnje ya nairobi maana sina imani inawezekana hao hata hyo nairobi yao hawaijui kwa kutembea wanaionaga kwa tv tu...
Hahaha hili nalo neno
 
Sawa watz, lakini hebu pia tuonyesheni vitu sampuli hii......kweli mkiwa na hivi mavitu, sisi hapa Kenya tutawaheshimu baraabara.
Lakini as long as bado mko hiovi hivi, mkichest thump ilhali kimiundo mbinu bado mko chini yetu, madharau kutoka kwetu bado mtaendelea tu kuzipata! Kenya ndio nchi ambayo imeendelea zaidi kwenye kanda hili, mkatae mkubali shauri zenu, ukweli bado utabakia pale pale.

Tuanze na eneo ya makaazi


ichoboy01 1 amekuwa akizungumzia kibera kila mara, hili hapa ni mtaa wenyewe wajengwa upya. Ipe kama miaka mitano-kumi hivi
4lrxyHO.jpg


29SOG.jpg


I3eh5.jpg


The-numbers-of-cars-parked-in-these-houses-bring-to-queation-the-effectiveness-of-the-slum-upgrade-Who-benefits-from-these-house-allocations.jpg


slum+px.jpg


g9SAf59h.jpg


16123406_251684441937848_5272866271954731008_n.jpg
Vp mbona mnanitaja sana humu naizungumza kibera kwasababu ndio gumzo ya dunia ambayo iko kwenye historian ya middle economy hahaha tatizo umaskini munao lakin munauogopa sasa mumekaa kupigana na alshabab 10 yrs sisi tunajenga nchi Leo mnashangaa mjipange vzr sana
 
kwa hizo flyover ndyo mtutambie ila si kwa vitu vingine.......ila nasi soon ...tupo njian tunawachora huku tukicheka[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ni hizo tu! Zaidi ya hapo wanaomba poo
 
Sasa tuangazieni mitaa mengine za jiji kuu la nairobi, what makes it the region's ultimate city?

16122835_1636504229987385_8942264842488643584_n.jpg


nairobi-helicopter-1.jpg


14805094921_dca5f4d18b_b.jpg


lijPM.jpg


MG_3016_72.jpg


12446300_238917606459340_707212197_n.jpg


4174528_est_jpegc562e7afc95e25f452fa4ed0bc987048

Sawa watz, lakini hebu pia tuonyesheni vitu sampuli hii......kweli mkiwa na hivi mavitu, sisi hapa Kenya tutawaheshimu baraabara.
Lakini as long as bado mko hiovi hivi, mkichest thump ilhali kimiundo mbinu bado mko chini yetu, madharau kutoka kwetu bado mtaendelea tu kuzipata! Kenya ndio nchi ambayo imeendelea zaidi kwenye kanda hili, mkatae mkubali shauri zenu, ukweli bado utabakia pale pale.

Tuanze na eneo ya makaazi


ichoboy01 1 amekuwa akizungumzia kibera kila mara, hili hapa ni mtaa wenyewe wajengwa upya. Ipe kama miaka mitano-kumi hivi
4lrxyHO.jpg


29SOG.jpg


I3eh5.jpg


The-numbers-of-cars-parked-in-these-houses-bring-to-queation-the-effectiveness-of-the-slum-upgrade-Who-benefits-from-these-house-allocations.jpg


slum+px.jpg


g9SAf59h.jpg


16123406_251684441937848_5272866271954731008_n.jpg

Kwanza Nenda kaufunge ule mjadala wa kuilinganisha Dar na Kampala
pia Dar na Mombasa

Usije rudia Kuilinganisha Dar na ujinga ujinga
huwezi kuona na kuijua Dar kwa ku Google Picha
Watanzania Hatuna shobo sana kuweka picha mitandaoni
ila kwakuwa mmetaka kujua Dar ileee ya 2000
Si dar ya 2017
Tutawaonyesha.
Hii mada itaenda mpaka post 5000

Dar kubwa mara 2.9 Ya Nairobi
bado vitu ni vingi mno
 
LOOK AT THIS... THE VERY SOBER VERY ONES KNOW IT
"Watanzania WENZANGU Acheni kujifananisha na Kenya labda kama mnafanya utani. Kenya ni Habari nyingine kwenye ishu ya uchumi na ukuaji wa majiji
tutawapiga kwenye population na vivutio tunayo vingi kuwazid Ila Kwa mji
unaokua Kwa KASI Africa Nairobi inafanya vizuri"
hahaa...ukienda kule kwenye majukwaa yao ndio utajua wanaikubali.nliona mwingine yuatukana wenzake kisa io flyover sijui ya ubungo au ni tazara.aliwapa za uso juu ndio wanaanza kujenga wakati tumezieneza miji yote
 
We

We picha unazotuonesha tushaziona ni zile zile tu hakuna jipya Nairobi kwa dar ni Mara mbili na nusu my friend hahahahhaha
Weka hizo picha, wacha kutapatapa. Mna nini zaidi ya PSPF?
Wekaa pichaa ya mitaa pia, ama nikusaidie?
 
Back
Top Bottom