Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nairobi10.jpg
 
A new CBD is developing fast in Upperhill Nairobi..This is even before the construction of upcoming 88Nairobi (44 floors), Hass Towers(45 floors 67 floors) (the tallest building in Africa), Monatave ( 40 floors), Upperhill chambers(28 floors) and many others are finalized
cbd2.jpg
 
a short history of nairobi during colonial period.

as i expected, matope (mud) is also part and parcel of nairobi's history.
64f2690a913e355eda231c7d454ec8dd.jpg


[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
d2f08143fd4239a3dbe2c11e958a07a6.jpg
 
This is a real battle!

Ukiachilia mbali miundombinu mizuri ya barabara na kufahamika zaidi kimataifa,naiona Nairobi ikianza kupumulia mashine mbele ya Dar.Miaka kumi iliyopita ilikuwa ni ndoto kuilinganisha Dar na Nairobi,coz vitu vingi vilivyokuwepo Nairobi havikupatikana Dar,na hasa majengo ya kisasa,lakini leo tumeweza kuilinganisha Dar na Nairobi na unaona kabisa Nairobi ikipumulia mashine

Labda tu niwajulishe Watani zetu Wakenya kwamba "Rais MAGUFULI anapenda barabara (miundombinu) kuliko hata kula,yupo radhi alale njaa lakini miundombinu ya public ijengwe"

Miaka kumi ijayo chini ya huyu Rais naiona Dar iking'ara mara nne zaidi ya ilivyo sasa

Karibuni Dar,bandari tulivu na salama-!
 
This is a real battle!

Ukiachilia mbali miundombinu mizuri ya barabara na kufahamika zaidi kimataifa,naiona Nairobi ikianza kupumulia mashine mbele ya Dar.Miaka kumi iliyopita ilikuwa ni ndoto kuilinganisha Dar na Nairobi,coz vitu vingi vilivyokuwepo Nairobi havikupatikana Dar,na hasa majengo ya kisasa,lakini leo tumeweza kuilinganisha Dar na Nairobi na unaona kabisa Nairobi ikipumulia mashine

Labda tu niwajulishe Watani zetu Wakenya kwamba "Rais MAGUFULI anapenda barabara (miundombinu) kuliko hata kula,yupo radhi alale njaa lakini miundombinu ya public ijengwe"

Miaka kumi ijayo chini ya huyu Rais naiona Dar iking'ara mara nne zaidi ya ilivyo sasa

Karibuni Dar,bandari tulivu na salama-!
Umesema vema kabisaa
Ndani ya miaka kumi ya huyu bwana mkubwa Dar itakua na miundombinu madhubuti kweli kweli.
 
Back
Top Bottom