Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is a real battle!

Ukiachilia mbali miundombinu mizuri ya barabara na kufahamika zaidi kimataifa,naiona Nairobi ikianza kupumulia mashine mbele ya Dar.Miaka kumi iliyopita ilikuwa ni ndoto kuilinganisha Dar na Nairobi,coz vitu vingi vilivyokuwepo Nairobi havikupatikana Dar,na hasa majengo ya kisasa,lakini leo tumeweza kuilinganisha Dar na Nairobi na unaona kabisa Nairobi ikipumulia mashine

Labda tu niwajulishe Watani zetu Wakenya kwamba "Rais MAGUFULI anapenda barabara (miundombinu) kuliko hata kula,yupo radhi alale njaa lakini miundombinu ya public ijengwe"

Miaka kumi ijayo chini ya huyu Rais naiona Dar iking'ara mara nne zaidi ya ilivyo sasa

Karibuni Dar,bandari tulivu na salama-!
No its not, I think you people think growth is only reserved to Dar, and Nairobi maxed out. Nairobi is growing at a rate never been experienced before. Dar has like 4 tall buildings in one zone plus the BRT, which is all I have seen so far. It is also not well planned, It is growing though but not at the pace of Nairobi and It is not even close to where Nairobi is just because the title reads battle.
 
Du!! Naona mmechanganyikiwa ID kumikumi mtu mmoja
hahaha

Yaani kitu kimoja kila page!!
Kweli imewaingia vilivyo hahaha

d90ba22e5aed8374018ee352d7c5df6d.jpg
a0c8ea73f8764f7a39a81004fc6a010a.jpg
b267f023431f480ffa26586f0756d070.jpg


Tuendako mtapost hadi Ikulu ya Kikuyu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilimwambia mm wenzako washapost picha kama hizo muda na wakakimbia na wengine wakaeka picha ya nssf Mwanza iko Nai hahhahha
 
You should understand this is real time, and its not like they are in the same room and are able to confirm, even so it still doesn't matter.
Unarudia matapishi my friend tumeziona hzo pic Mara 10 hakuna hata building moja hatujaona tunataka new buildings mutuekee hapa hehhee eti mushindane na 1590 kmsq vs 696 km sq hhhehee
 
Da!! Hii kali
huyu mama yupo Nairobi
ndani ya jiji
makao makuu ya Kenya
najiuliza hivi
anapo kwenda nje ya Nairobi husema anaishi Jinini Nairobi!!?
Hivi huyu anafuraha na nchi yake miaka 50
uchumi wa kati hivi!!

HII NYUMBA NI YAKULALA BINADAMU!!?

b0b4013e8db68389726363d7d8e23bbb.jpg
Uchumi wa kati wa kwenye karatasi wapi uliskia uchumi was kati inatangaza njaa janga LA taifa wapi? Wapi uliskia uchumi was kati unaongoza unemployment in the world
 
When you compare with dar kwanza ujue vitu viwili dar is bigger than nairobi times two and a half, 1590km sq urban city vs 696km sq, kingine dar is a fastest growing city in the world my friend dar inajengwa kila kona ya 1590 km sq hahha hakuna mchezo
 
H
you are wrong about 4 tall buildings in one Zone. i tried to post above areas like KIJITONYAMA, UPANGA ,AND SAM NUJOMA STRIP. Go read and you will understand. we are very close to what NAIROBI have done, imagine we had no all those towers 5 years ago, look at your FLYOVERS AND INTERCHANGE, most of them are on advanced stage,some even landscaping not done, you can say you are miles away if those road projects were done 10 year ago, on monday we are launching the construction of our 2nd flyover (3 LEVEL INTERCHANGE, and BRT phase 2, 3 and 4. ,about Our SGR project, we alread have a contractor and the deal already signed . I can say you are steps away for housing estates although in Dar , they are also coming up everywhere. one thing you are untouchable though is the multinational regional offices coming in Nairobi.
Hawa ni barabara tu nothing else dar sio mchezo
 
Kwanza nimewaonesha projects ambazo ziko under construction hhhehehhe moto vibaya mno
 
No its not, I think you people think growth is only reserved to Dar, and Nairobi maxed out. Nairobi is growing at a rate never been experienced before. Dar has like 4 tall buildings in one zone plus the BRT, which is all I have seen so far. It is also not well planned, It is growing though but not at the pace of Nairobi and It is not even close to where Nairobi is just because the title reads battle.

you are wrong about 4 tall buildings in one Zone. i tried to post above areas like KIJITONYAMA, UPANGA ,AND SAM NUJOMA STRIP. Go read and you will understand. we are very close to what NAIROBI have done, imagine we had no all those towers 5 years ago, look at your FLYOVERS AND INTERCHANGE, most of them are on advanced stage,some even landscaping not done, you can say you are miles away if those road projects were done 10 year ago, on monday we are launching the construction of our 2nd flyover (3 LEVEL INTERCHANGE, and BRT phase 2, 3 and 4. ,about Our SGR project, we alread have a contractor and the deal already signed . I can say you are steps away for housing estates although in Dar , they are also coming up everywhere. one thing you are untouchable though is the multinational regional offices coming in Nairobi.

BTW there are 8 New Buildings with 30-35 storey in one Zone you suggested [POSTA
 
you are wrong about 4 tall buildings in one Zone. i tried to post above areas like KIJITONYAMA, UPANGA ,AND SAM NUJOMA STRIP. Go read and you will understand. we are very close to what NAIROBI have done, imagine we had no all those towers 5 years ago, look at your FLYOVERS AND INTERCHANGE, most of them are on advanced stage,some even landscaping not done, you can say you are miles away if those road projects were done 10 year ago, on monday we are launching the construction of our 2nd flyover (3 LEVEL INTERCHANGE, and BRT phase 2, 3 and 4. ,about Our SGR project, we alread have a contractor and the deal already signed . I can say you are steps away for housing estates although in Dar , they are also coming up everywhere. one thing you are untouchable though is the multinational regional offices coming in Nairobi.

BTW there are 8 New Buildings with 30-35 storey in one Zone you suggested [POSTA
Hawa hata uwaeleze vipi hawez kukubali kwasabbabu hawamini kama ndio hii dar within 10 yrs ndio maana wanashangaa sana
 
Back
Top Bottom