Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tofauti Ka-floor kamoja!
Acha wenge wewe 😂😂

Mbeya ni Kati ya Miji 6 yenye majengo marefu hapa Tanzania kuanzia 6 floors and above Kwa mujibu wa matokeo ya sensa.

The fact kwamba Majengo ya Mbeya Yako scattered isikidanganye unadhani Iringa inazidi achilia mbali hivyo Vijiji vingine 😁😁

Mbey a 👇👇
msafwa__255_1738123528726.jpg
msafwa__255_1737913926199.jpg
IMG_20240726_183819_066.jpg
 
Dodoma city Ina watu 300k or less mkuu. Ikiwa Dar iko na watu 6 million na uwanja wa taifa wenye capacity ya watu 60k unajaa kwa nadra sana, vipi ujenge uwanja wa capacity ya watu 60k kwenye mji wa watu 300k ambao ndani yake kuna wasiofika uwanjani, watoto, wasio washabiki wa mpira, wazee n.k.? Kujenga uwanja mkubwa Dodoma ni kupoteza pesa, gharama za kuukarabati zitakuwa nyingi kuliko maingizo ya uwanja.
Good comment, uwanja wa 80K tena nje ya Dar ingekuwa ni upotevu wa hela ,tusingeona ukijaa hata mara moja, hela ingetumika nying kujenga gofu, ni bora hii hela ijenge hata conference centre ya watu 3K hadi 5k au kujenga indoor staidum etc, . Hakuna team ya maana hata kujaza Jamuhuri dodoma ya 15k capacity .

Hata ukiangalia UK viwanja vyenye more than 50K capacity vya kuhesabika
 
Ni kipi usichoelewa?ni wapi nilipoandika kuwa hakuna corruption Kenya? Nachokisisitiza ni kwamba wakenya wana mwamko kukataa ulaghai wa uwazi na hio inasaidia kupunguza corruption. Tofauti na watanzania wanaosifia ulaghai wa uwazi hata hamjafika kiwango cha kuelewa kuwa mali ya umma sio mali ya viongozi… kuna tofauti kubwa sana ukipata kwa upande mmoja, raiya wanakashifu rais wao kwa kutumia private jet inayolipiwa na mali ya umma na kwa upande mwingine wananchi wanashangilia ununuzi wa jet mpya ya rais (approximately $100m) ingawa ni nchi iliyo katika dunia ya tatu ama third world country
Toka 1990 mna mwamko ila mnapigwa kila kukicha.

Nikuulize nyie mwenye mwamko mlikopa from Korea Sh 6.4bn



For BRT mradi uko wapi na mwamko wenu mkubwa.

Ila wasio na mwamko kwa pesa hizo hizo wana Lot 3 za BRT na zote Complete.

Wewe mwenye mwamko mombasa Bridge ilikua hata Kabla ya Magufuli Bridge na mlikopea kabisa
1739381187612.jpeg


Na ilikua kabla ya Magufuli Bridge (Full funded by Tanzania Government)

1739381283845.jpeg



Wewe mwenye mwamko SGR mliambiwa

1739381338072.jpeg


Mlichopata old fossils fuels

1739381417304.jpeg


Hao wasio na mwamko waliahidiwa
1739381541239.jpeg


Walichopata

1000026044.jpg

1000005969.jpg

1000028323.jpg



Wenye mwamko waliambiwa Nairobi Green Park terminal itakuwa bomba ila ona ushuzi ulivyo with Magufuli bus terminal
1739381770709.jpeg



Acheni Upumbavu nyie wakunya, Mwamko wa nyoko huku mnatiwa vidole kila sehemu.

Zaidi ya ukabila uliojificha kwa demokrasia kuna nini maana mtu wa kabila akiingizwa kwa system ghafla mwamko haupo
 
Back
Top Bottom