Yote hayo nayajua yaani favorite wa mama nisijue tena? Orodha niliyonayi ni zaidi ya hiyo miradi aliyotaja.eg -Ukarabati wa uwanja wa Ndege Tabora including New passenger building,NHC Commercial Complex nk
View: https://www.instagram.com/p/DF16ydYMwPm/?igsh=bTNlMDk5dWJlaTQy
Next Cities ni Tabora & Morogoro,Kahama ingekuwa na miundombinu mizuri ingekuwa hivyo.
Tabora has to work hard on Municipal Collections,Iko very low to required City ceiling.
Mwisho nina Hadi orodha ya miradi inayotekelezwa na Samia kwenu Kagera Mkoa maskini Tanzania kuwasaidia.