Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Give me anything 30kms from Dar cbd kama hutoona shamba za mihogo na maharage
Ushawahi kupasikia Bunju?
Screenshot_20250216_161242_Google.jpg
 
Wanakwambia watanzania hawajulikani wao wanaojulika wameshindwa nafasi muhimu Africa Kenya ni sawa na manyumbu pale Serengeti pamoja na kuhonga kote huko 6 billions hela mingi sana hiyo ingebadilisha hata maisha ya kibera
Kilio Cha mwizi 🤣🤣🤣 wacha wavune matunda ya kujiona wao ni wamarekani weusi,hata kama wakitoka AU Africa utaendelea tu bila wao. Huu ni ujumbe kwamba Africa haitaki masnich.
View attachment 3237692
 
JWTZ nao wanatia aibu, hizo kofia kama sufuria mpaka leo bado wanavaa!! Tangu vita ya kagera!! Hata M23 WANATUSHINDA!! kwani helmet nzuri za kisasa ni bei gani!!!
We have been telling you that … 😄… tell mama to shop at TEMU or SHEIN… they are available..🤣🤣
 
Ngoja nikupitishe kwa maandishi hadi Bunju
Posta>Upanga >Morocco>Makumbusho>Sinza>Mwenge>Kawe>Mbezi beach(juu)>Kunduchi>Tegeta>Boko>Bunju A,B
Hio ni nyumba kwa nyumba
Nyumba kwa nyumba indeed. This is Bunju, an excluded neighborhood with countable houses In Dar
IMG_20250216_174726.jpg
IMG_20250216_174514.jpg
IMG_20250216_174403.jpg


Can you compare that with Ruiru below?
images - 2025-02-15T225812.916.jpeg
 
Back
Top Bottom