Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwa nilivoskia itakua ni smart city itakua na kila kitu hospitali, vyuo vikuu, schools na makazi pia yametengewa sehemu yake

mradi kamili kwa nilivoskia ni 3b usd na ina awamu zaidi ya tatu mpaka nne
Basi ni vyema , kama plan ni kua smart, city itakuwa poa wakijenga technology based university , kuwe na knoweldge hubs, na hubs mbali mbali kuweza kutuendeleza in terms of ICT
 
Kwani wewe huwezi andikia Rais email? What does it take to write an email to somone if you know their email address? You only need Internet connection watchman 🤣. Mibongolala mnatia huruma! It could be classified yes but the email will still be delivered even though it could be filtered on the other end for obvious reasons. Acheni ujinga!!
Pumbavu wewe kwenda zako huko, nyie mpo ladhi muongope ili muonekane mpo juu, eti "tuliandikia maraisi emails" ili iweje? Wapi hizo emails, tuonesheni hizo emails, si mlikuwa mnabisha hapa kwamba Raila atashindwa vby? Leo mmeshindwa ati "tulikuwa tunaandikia maraisi emails" alafu huyo huyo kesho akiwaambia muandamane mnabeba na masufuria yenu kichwani mnaingia road. Fala wewe Watchman.
 
Pumbavu wewe kwenda zako huko, nyie mpo ladhi muongope ili muonekane mpo juu, eti "tuliandikia maraisi emails" ili iweje? Wapi hizo emails, tuonesheni hizo emails, si mlikuwa mnabisha hapa kwamba Raila atashindwa vby? Leo mmeshindwa ati "tulikuwa tunaandikia maraisi emails" alafu huyo huyo kesho akiwaambia muandamane mnabeba na masufuria yenu kichwani mnaingia road. Fala wewe Watchman.
My message is home, that's the most important thing. At least umejua what you didn't know
 
Wewe uzee imekufikisha pabaya. You haven't left an iota of reason in your brain.

To begin with, all foreign nationals MUST secure work permits from their host countries upon appointment by their respective countries. I'll give you a classical example assuming you are a football fan. All footballers must get work permits from the host country before being allowed to start playing for their new clubs even after signing their deals. That's the protocol world over. So many players have missed playing for their dream clubs by simply being denied work permits by the host country even after their would-be clubs have agreed to sign them. It happened to Macdonald Mariga when Manchester City agreed to sign the Kenyan midfielder a few years back but he missed the chance just because the FA couldn't give him(Mariga) a work permit. Did Man City sue the FA or the UK government for interfering with their transfer plans? Definitely not!

Just the same way ambassadors and high commissioners must present their papers to the President of the host nation upon being appointed by their respective countries. Why do you think this protocol is followed holistically? You probably don't have an idea coz you are a bongolala driven by hate and emotions instead of a voice of reason.

Magufuli had no authority to decide for Vodacom who their next employee should be coz he didn't seat at the Vodacom board of directors neither was he a shareholder. As the head of the Tanzanian government, the only thing he could do was to facilitate or frustrate paperwork for Mulinge to secure her new job and the latter is what the man with the black heart did. He frustrated her to the disappointment of Vodacom.

Ndio maana ukaambiwa kwamba if Kenyans were jealous like you people are, the Kenyan government could have easily stopped Tibaijuka's work at the UNEP headquarters in Nairobi by denying her work permit and there's nothing the UN could have done. But Kenyans are above such petty things ndio maana hadi sasa tumeruhusu hadi ombaomba wenu kuvamia mitaa zetu kama nzige na bakuli mikononi!
Sasa unafikiri kabla UN Habitat hawajaweka ofisi yao Nairobi kulikuwa hamna agreements? GoK haina say kwenye hilo ndio maana top guys si Wakenya! The moment mna interfere watafunga ofisi!

Najua Raila kuangukia pua AU imekuumiza!
 
Naona (from renders) Jengo halitotafutiana na Tabora, Kigoma,Sumbawanga maana zote ni project zimekuwa signed pmaoja ,adavantages za kutua usiku (emergencies plus easier ku schedule ndege aircraft utilization kwa kampuni zenye ndege chache
Leta render!
 
Inashangaza, imagine utasikia wanapokea mkopo wa $100m huku Tourism iko na $3bn.

Mambo hayataki pupa, kama kwa mwaka unakusanya hela hizo zote, weka mradi utegee kipindi flani tuseme miaka miwili mradi wa $500m Barabara ya njia 4 ifike sehemu kuelekea Dodoma inafika tu.

Ila ajabu utasikia wanaomba (Tzs 150bn) sawa na USD 65m kama bond ya TARURA road network miaka mitano?

$65m?????????

Kwa mwezi unakusanya Sh 3 trillion ($1.5bn)

Alafu $65m za kuwapa TARURA unakosa hadi uchangishe???

Mbona hizo za kutoa wiki tu wakiamua.
3billion usd ya toursim ,au 3.. ya GOLD sio hela inayoingia serikalini mzee baba, hio ni hela inayoingia kwenye uchumi wa nchi
 
Naona (from renders) Jengo halitotafutiana na Tabora, Kigoma,Sumbawanga maana zote ni project zimekuwa signed pmaoja ,adavantages za kutua usiku (emergencies plus easier ku schedule ndege aircraft utilization kwa kampuni zenye ndege chache
Jengo la Sumbawanga ni zuri japo Sina hakika kama kweli ni sawa na Hilo au hapana.

View: https://youtu.be/Ab78pwDsUwg?feature=shared
 
Back
Top Bottom