Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivo Vodacom waliomchagua Silvia Mulinge ni wajinga wewe kinyangarika wa vijiweni Tandale unajua kuwashinda? Hivi unadhani Vodacom ni kikampuni cha kishambashamba kama hivyo vyenu kichague mtu asiye na skills awe Managing Director wa Kampuni yao? Huyo Mulinge mbona alienda Uganda MTN na anafanya vizuri wakati huyo Mmisri mliomchukua kisa mnachukia Wakenya alishindwa na kazi?
Kijana Vodacom ipo ndani ya Sheria za uwekezaji, sheria za uwekezaji zinataka Director mzawa pia.

Means tuna power juu ya hiyo company inapofanya shughuli hapa.

Sasa UN HABITAT ipo sheria gani huko hadi mzuie mtu?

Mna anypower ya kuzuia aliyeteuliwa na GENERAL ASSEMBLY ya UN hapo Kenya kwenye office yao msiyo na power nayo?
 
Sio east africa tuu bali ni the largest real estate company in Africa 20 years ago it had 110k houses countrywide and was ranked the biggest real estate company in Africa then.
Who ranked it the largest real estate company in Africa? Mnakuanga na ufala sana.
 
Mbona unatuforce kuingilia vigogoro vyeni na vinchi vidogo size ya County Moja hapa Kenya? You're always angling for our validation aren't you?
Vigogoro. If you are smart usingeongea hivyo ikiwa kwenye COALITION OF WILLING (COW) Rwanda alikua mtu muhimu kwenu.
 

View: https://x.com/TanzaniaInvest/status/1891390754259456371?t=GWvvqkROo0vDommaazW6EQ&s=19
Note
Kilimo chaongoza kuchangia ukuaji wa GDP Kwa mara ya kwanza
Screenshot_20250217-114131.jpg
 
Dead Magufuli had no right nor authority to stop appointment of Mulinge by Vodacom you idiot. All he did is deny her a work permit. Something that the government of Kenya could do to Tibaijuka kama tungekuwa na roho mbaya kama hizo zenu. Huna akili.
Ooh how would you do to Tibaijuka nipe mfano cause you as nation have no legal power to stop UN Director to work in their own office, unless mnataka office iwe relocated.

Tell me what power you have over UN office?
 

Ila si walisema walikua wanataka wa Djibouti ashinde.

Imekuaje wapo kutukomalia sisi ndio tumewafelisha.


Waache usenge, mijitu ipo kila siku kutunaga eti SADC hatuna kitu hamna anayeijua TZ, Tz hamna anayeijua na bado inalia lia eti tumeifelisha.

So Tanzania tungepiga kura moja wangeshinda?

Wapumbavu yaani tutumie mafanikio yetu influence ya jasho na Damu kuweka Nyang'au aliyekua anafanya biashara kipindi tunahangaika?
 
Mbona wanakataliwa kila kona wana matatizo gani hawa mbwa wa kibera
Africa wanajua ufala wao kabla na baada ya Uhuru. Kujibaraguza kwa wazungu wakati wenzao wanahangaika na liberation. Pia kura za Kenya UN hazioneshi msimamo wao bali zinapigwa according to the dictates of their masters nchi haina msimamo.
 
Africa wanajua ufala wao kabla na baada ya Uhuru. Kujibaraguza kwa wazungu wakati wenzao wanahangaika na liberation. Pia kura za Kenya UN hazioneshi msimamo wao bali zinapigwa according to the dictates of their masters nchi haina msimamo.
sio kabla hata baada mpaka sasa! WTO walizuia generic medicines kwa nchi za Africa kisa makampuni ya West yaliwadanganya kufungua pharmaceutical branches Ukunyani! Cha ajabu Novatis walifunga na wale wa Corona wamehairisha mradi! Hawa mbwa ni wabinafsi!
 
Back
Top Bottom