Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya is the only African country allowed to buy and operate these MD550F Cayuse warrior Helios ( though Nigeria got approved last year )…. And before a Bongolala wonder what that means… The United States 🇺🇸 picks and chooses whom to sell or use their military equipment…money is not the motive..Many countries get denied just like a visa . They even control third and fourth party sales … for example when kingdom of Jordan 🇯🇴 wanted to make a deal for Cobras with Sudan, the US stopped it (Jordan bought them from the US) and instead the Cobras were sold to Kenya 🇰🇪 ( second hand )and as of today , Kenya Air Force remains the only one in Africa operating Cobra attack Helios …. I don’t even understand why some people compare KDF to TPDF … it’s not even close …that’s just two types of helicopters found nowhere else in Africa… MD550F and Bell Cobra attack ..There are other equipment that only KDF has in Africa especially in reconnaissance.
 
One of the latest KDF ( Air Force) Bell cobra attack helicopters…. One armored of these can put Arusha and Mwanza to their knees in a day ..😁 btw these second hand Helios got their avionics updated by the US , they are as good as new .
IMG_5938.jpeg
 
So, camera moja hapo inauzwa zaidi ya milioni 13, camera gn hizo?
Aisee. Hizo million 500 wangemaliza kwanza mradi wao wa kuweka pavements kwenye barabara zao za City Centre. Pavements za samora avenue zimechoka sana, ohio street haina kabisa pavements, na baadhi ya mitaa ya Uptown haina pavements. Wangemalizia huo mradi kwanza at least barabara zote hadi kufika Azikiwe street.


Ila mimi wachawa wa mama mtanisamehe

Hiv ni lini muliona Rais wetu akienda kukagua mradi flani, ofisi flani hata bila taarifa....mbona hata maagizo yake hayatekelezeki...mfano ni Magufuli bridge ya mwanza....alitoa deadline iwe mwezi wa pili..juzi naskia wanasema mwezi wa nne. Miradi ya BRT Dar iko slow mno hasa BRT 3. BRT 2 naskia wawekezaji wa mabasi wanakuja na kusepa..so mpaka sasa hakuna kampuni la maana ambalo litaendesha huu mradi.
SGR lot 3,4,5 hakuna kinachoendelea. Kule mwanza ndo kabisaa hakuna hata mkandarasi site.
Ujenzi wa mji wa Magufuli, barabara za mzunguko uko slow mno... Msalato Airport juzi kamati imekuta wizi wa hatari pesa za mradi zinaongezeka kila siku.

Ujenzi wa Bandari kavu ya kwala ulifikia wap? Mbona maroli hayaelekei huko. Tulitegemea hata kampuni kubwa kama DP world nk ziwe na crane zake huko tayari...ili treni za mizigo usiku ziwe zinaleta makontena yote pale kwanza na maroli yanachukulia mizigo pale.
Ni mara ngapi maroli yanaparamia watu kwenye barabara za dar...serikali ina mpango gani kusolve hili tatizo.
Serikali ingekuwa serious barabara ya kutoka hata pale kwala mpaka Morogoro ingeanza kutanuliwa haraka sana...

Sijawahi muona hata akiongelea hiyo miradi, kwa nini iko slow, solution ni nini, na wana mpango gani. Yaani sifa ni nyingi kuliko uhalisia huku kwa ground.

Mimi sio mwanasiasa. Ila tukiendelea na this style of leadership by 2030 tutakuwa tuko hapahapa na kaGDP below $100b, Hata per capita itazidi kushuka kufika hata 500 maana miradi ya kimkakati ambayo ingeweza kuongeza GDP inapewa kisogo na iko slow kulinganisha ukuaji wa population.
 
Aisee. Hizo million 500 wangemaliza kwanza mradi wao wa kuweka pavements kwenye barabara zao za City Centre. Pavements za samora avenue zimechoka sana, ohio street haina kabisa pavements, na baadhi ya mitaa ya Uptown haina pavements. Wangemalizia huo mradi kwanza at least barabara zote hadi kufika Azikiwe street.


Ila mimi wachawa wa mama mtanisamehe

Hiv ni lini muliona Rais wetu akienda kukagua mradi flani, ofisi flani hata bila taarifa....mbona hata maagizo yake hayatekelezeki...mfano ni Magufuli bridge ya mwanza....alitoa deadline iwe mwezi wa pili..juzi naskia wanasema mwezi wa nne. Miradi ya BRT Dar iko slow mno hasa BRT 3. BRT 2 naskia wawekezaji wa mabasi wanakuja na kusepa..so mpaka sasa hakuna kampuni la maana ambalo litaendesha huu mradi.
SGR lot 3,4,5 hakuna kinachoendelea. Kule mwanza ndo kabisaa hakuna hata mkandarasi site.
Ujenzi wa mji wa Magufuli, barabara za mzunguko uko slow mno... Msalato Airport juzi kamati imekuta wizi wa hatari pesa za mradi zinaongezeka kila siku.

Ujenzi wa Bandari kavu ya kwala ulifikia wap? Mbona maroli hayaelekei huko. Tulitegemea hata kampuni kubwa kama DP world nk ziwe na crane zake huko tayari...ili treni za mizigo usiku ziwe zinaleta makontena yote pale kwanza na maroli yanachukulia mizigo pale.
Ni mara ngapi maroli yanaparamia watu kwenye barabara za dar...serikali ina mpango gani kusolve hili tatizo.
Serikali ingekuwa serious barabara ya kutoka hata pale kwala mpaka Morogoro ingeanza kutanuliwa haraka sana...

Sijawahi muona hata akiongelea hiyo miradi, kwa nini iko slow, solution ni nini, na wana mpango gani. Yaani sifa ni nyingi kuliko uhalisia huku kwa ground.

Mimi sio mwanasiasa. Ila tukiendelea na this style of leadership by 2030 tutakuwa tuko hapahapa na kaGDP below $100b, Hata per capita itazidi kushuka kufika hata 500 maana miradi ya kimkakati ambayo ingeweza kuongeza GDP inapewa kisogo na iko slow kulinganisha ukuaji wa population.
Priority ni kuuza kila kinachouzika na kupata 10%
 
Trump anakulia timing tu,we endelea kujificha tu huko kijijini greenwich,mathare slum inakusubiri
You live in Lala land … only illegals hujificha … don’t comment on things you know nothing about or what you hear from your Tandale neighborhood gossip girls..🤣🤣
 
Aisee. Hizo million 500 wangemaliza kwanza mradi wao wa kuweka pavements kwenye barabara zao za City Centre. Pavements za samora avenue zimechoka sana, ohio street haina kabisa pavements, na baadhi ya mitaa ya Uptown haina pavements. Wangemalizia huo mradi kwanza at least barabara zote hadi kufika Azikiwe street.


Ila mimi wachawa wa mama mtanisamehe

Hiv ni lini muliona Rais wetu akienda kukagua mradi flani, ofisi flani hata bila taarifa....mbona hata maagizo yake hayatekelezeki...mfano ni Magufuli bridge ya mwanza....alitoa deadline iwe mwezi wa pili..juzi naskia wanasema mwezi wa nne. Miradi ya BRT Dar iko slow mno hasa BRT 3. BRT 2 naskia wawekezaji wa mabasi wanakuja na kusepa..so mpaka sasa hakuna kampuni la maana ambalo litaendesha huu mradi.
SGR lot 3,4,5 hakuna kinachoendelea. Kule mwanza ndo kabisaa hakuna hata mkandarasi site.
Ujenzi wa mji wa Magufuli, barabara za mzunguko uko slow mno... Msalato Airport juzi kamati imekuta wizi wa hatari pesa za mradi zinaongezeka kila siku.

Ujenzi wa Bandari kavu ya kwala ulifikia wap? Mbona maroli hayaelekei huko. Tulitegemea hata kampuni kubwa kama DP world nk ziwe na crane zake huko tayari...ili treni za mizigo usiku ziwe zinaleta makontena yote pale kwanza na maroli yanachukulia mizigo pale.
Ni mara ngapi maroli yanaparamia watu kwenye barabara za dar...serikali ina mpango gani kusolve hili tatizo.
Serikali ingekuwa serious barabara ya kutoka hata pale kwala mpaka Morogoro ingeanza kutanuliwa haraka sana...

Sijawahi muona hata akiongelea hiyo miradi, kwa nini iko slow, solution ni nini, na wana mpango gani. Yaani sifa ni nyingi kuliko uhalisia huku kwa ground.

Mimi sio mwanasiasa. Ila tukiendelea na this style of leadership by 2030 tutakuwa tuko hapahapa na kaGDP below $100b, Hata per capita itazidi kushuka kufika hata 500 maana miradi ya kimkakati ambayo ingeweza kuongeza GDP inapewa kisogo na iko slow kulinganisha ukuaji wa population.
Tukisema tunaonekana tuna mapenzi na Magufuli. Wakati tunamaanisha ile style ya governing kwenye miradi.

Yaani vitu vinajiendea, watumishi wanajua kuanzisha matukio ya "Mama" basi.

Hata kama kusifiwa kulianzia kwa Magufuli ila alikua anawala vichwa wazi wazi wakishindwa kazi or wakienda kinyume na maagizo so wao ilikua sifia yao ipo kwenye kutelekeza miradi sio "Samia Run, samia boxing, samia dance, samia clinic"

Makonda aliyekua untouchable alipigwa chini kwa kukimbilia kuomba fomu na wamekatazwa either chagua kimoja utumishi or kula.

Kangi Lugola alikula kichwa.

Mwanri alikula kichwa same situation na Makonda.

TANESCO na PORT walikua hawana amani kabisa, Wizara ya Ujenzi nayo ilikua haina amani ghafla huyu hapa.


Plus watumishi wengi sasa waliona kusifia hakulipi zaidi ya utendaji ndio wakaacha.

Now ni kutengeneza mabango kunalipa, mtu anaachwa kisa Team Samia na unaleta wajinga Kina Dotto Magari etc kwenye mambo serious


Usishangae kusikia Keshokutwa kuna Uwekezaji kutoka Dubai kwenye reli ambayo ilitaka tu uangalizi wa karibu na ukali inaenda fresh or BRT.
 
Kenya is the only African country allowed to buy and operate these MD550F Cayuse warrior Helios ( though Nigeria got approved last year )…. And before a Bongolala wonder what that means… The United States 🇺🇸 picks and chooses whom to sell or use their military equipment…money is not the motive..Many countries get denied just like a visa . They even control third and fourth party sales … for example when kingdom of Jordan 🇯🇴 wanted to make a deal for Cobras with Sudan, the US stopped it (Jordan bought them from the US) and instead the Cobras were sold to Kenya 🇰🇪 ( second hand )and as of today , Kenya Air Force remains the only one in Africa operating Cobra attack Helios …. I don’t even understand why some people compare KDF to TPDF … it’s not even close …that’s just two types of helicopters found nowhere else in Africa… MD550F and Bell Cobra attack ..There are other equipment that only KDF has in Africa especially in reconnaissance.
MD550, Helicopters za miaka ya 1950s
 
MD550, Helicopters za miaka ya 1950s
Bongolala ni Bongolala tu … kwanza ni MD530F na ni za juzi ..and you have zero knowledge on how military hardware is operated, updated or maintained… a military machine is not about the skeleton or body you see… it’s about the capability inside…. The baddest nuclear bomber in the world is the B-52 stratosphere na ni za 1952 …. But the only thing 1952 in today’s B-52 is the body/skeleton /fuselage …everything inside today is too complex for your brain I won’t even know where to start ..🤣🤣.. military aircrafts sio kama ndege za Air Tanzania…😄
 
Came to service in 1952 but one B-52 strategic bomber today can destroy the whole of Tanganyika and Zanzibar in 5 hours… turn it into a demolition dust bowl with no apologies 😁😁.. but am sure Bongolalas will be cheering ati ni ya 1952 hakuna Matata just before their demise … 😂
IMG_5949.jpeg
 
Bongolala ni Bongolala tu … kwanza ni MD530F na ni za juzi ..and you have zero knowledge on how military hardware is operated, updated or maintained… a military machine is not about the skeleton or body you see… it’s about the capability inside…. The baddest nuclear bomber in the world is the B-52 stratosphere na ni za 1952 …. But the only thing 1952 in today’s B-52 is the body/skeleton /fuselage …everything inside today is too complex for your brain I won’t even know where to start ..🤣🤣.. military aircrafts sio kama ndege za Air Tanzania…😄
Tunajua unajifariji na light utility helicopters 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇

1739942370157.png
 
Back
Top Bottom