Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu hivi unajua miradi hiyo yote ilipangwa hata kabla ya ujio wa magu ? Ukitaka discussion nzuri na constructive kubali nasi tutoe negativity za unayemsifia . Hakuna kipya kwa jpm
Sawa ilikuwepo, lkn kwnn haikufanyiwa utekelezaji miaka yote hiyo, kwamba bajeti ilikuwa haitoshi au? Mkuu nisikilize mm hata raisi angekuwa nani ilimradi sio mzalendo na sio mthubutu hiyo miradi ingeendelea kubaki kwenye makaratasi tu, usifanye mchezo wewe, sio kitu cha kawaida na usichukulie poa, hata Rais ungekuwa wewe usingeweza, wewe unaweza ku risk maisha yako na tonge lako kwa faida ya wengine? Acheni ujinga nyinyi....
 
Machawa achana nao hao, na mm sitoacha kuwakumbusha hata wakijifanya wehu. Hawa ni ma CCM pro yaliyovamia huu uzi, yenyewe yapo radhi hata kiongozi akikosea lkn asiikosoe CCM, ni majitu yanasababisha hali inakuwa ngumu sn kisa yenyewe yanapewa visenti fulani. Hivi mtu mzalendo mwenye akili zako timamu kabisa unaweza kumuweka jakaya kwenye level za Magu, au mama kwenye utwala bora? Kwa kipi hasa? Mambo yapo hadharani huhitaji kwenda chuo, na wajue kabisa watanzania wa sasa sio wale waliowazoea.
Jakaya alijenga uchumi na barabaran katika hali ngumu, aliweka kukawa na free of speech bunge likawa moto, kaguzi zikawa moto tutayajua mengi.
Magu alizuia kaguzi na masuala ya ujenzi akayahamishia ofisi ya rais ili yasikaguliwe, tender nyingi za ujenzi akawa anafanya mwenyewe kwa kutumia kampuni zake. Uchumi ukadorora ila akawapofusha watu na miradi michache sana tofauti capacity ya tanzania
 
Coz I know what it's like during off peak.
You’re saying this is absolutely normal, you see no issue whatsoever and the guy who posted this alongside the hundreds of supporting comments are just stretching it
IMG_1930.jpeg
 
Yaani kuna watu humu nitaanza kuwaiginoo moja baada mwingine
Machawa achana nao hao, na mm sitoacha kuwakumbusha hata wakijifanya wehu. Hawa ni ma CCM pro yaliyovamia huu uzi, yenyewe yapo radhi hata kiongozi akikosea lkn asiikosoe CCM, ni majitu yanasababisha hali inakuwa ngumu sn kisa yenyewe yanapewa visenti fulani. Hivi mtu mzalendo mwenye akili zako timamu kabisa unaweza kumuweka jakaya kwenye level za Magu, au mama kwenye utwala bora? Kwa kipi hasa? Mambo yapo hadharani huhitaji kwenda chuo, na wajue kabisa watanzania wa sasa sio wale waliowazoea.
leo nimeanza na huyo chawa na 1 na wengine watafuata
 
Jakaya alijenga uchumi na barabaran katika hali ngumu, aliweka kukawa na free of speech bunge likawa moto, kaguzi zikawa moto tutayajua mengi.
Magu alizuia kaguzi na masuala ya ujenzi akayahamishia ofisi ya rais ili yasikaguliwe, tender nyingi za ujenzi akawa anafanya mwenyewe kwa kutumia kampuni zake. Uchumi ukadorora ila akawapofusha watu na miradi michache sana tofauti capacity ya tanzania
Eti freedom of speech, nani kakuambia maskini anahitaji freedom of speech, huo upuuzi ndiyo umezaa machawa leo hii. Maliza njaa kwanza ndiyo freedom of speech ifuate.
 
Sawa ilikuwepo, lkn kwnn haikufanyiwa utekelezaji miaka yote hiyo, kwamba bajeti ilikuwa haitoshi au? Mkuu nisikilize mm hata raisi angekuwa nani ilimradi sio mzalendo na sio mthubutu hiyo miradi ingeendelea kubaki kwenye makaratasi tu, usifanye mchezo wewe, sio kitu cha kawaida na usichukulie poa, hata Rais ungekuwa wewe usingeweza, wewe unaweza ku risk maisha yako na tonge lako kwa faida ya wengine? Acheni ujinga nyinyi....
Ukisema haikufanyiwa KAZI inatakiwa ujue Kila mpango wa serikali unaenda kwa awamu.
Mfano kipindi kikwete anapokea nchi central corridor ilikuwa kama imefungwa na watu wa mwanza ili kufika dar iliwalazimu wapite Nairobi akaifungua na kupafingua mtwara. Awamu ya kikwete ndo imejenga barabaran nyingi sana kulingana na tanroads.

Akakomaa nashida ya umeme ndo iptl na song as zikazaliwa akaongeza ajira maradufu ambayo ilileta multiplier effect kwenye uchumi wakati magu anakabidhiwa rungu aliambiwa kabisa Kuna ujenzi wa reli na muhimu sana kwa ajili ya kuovertake Nairobi na hata ukiangalia barabaran alizojenga magu kwa awamu ya kwanza tu na zile za kikwete awamu ya kwanza za magu hazifiki hata 1800 km huku jk akiwa na zaid 3300km kwa kuanzia 2005-2010.
Kila kitu kinaenda kwa awamu
 
Sawa ilikuwepo, lkn kwnn haikufanyiwa utekelezaji miaka yote hiyo, kwamba bajeti ilikuwa haitoshi au? Mkuu nisikilize mm hata raisi angekuwa nani ilimradi sio mzalendo na sio mthubutu hiyo miradi ingeendelea kubaki kwenye makaratasi tu, usifanye mchezo wewe, sio kitu cha kawaida na usichukulie poa, hata Rais ungekuwa wewe usingeweza, wewe unaweza ku risk maisha yako na tonge lako kwa faida ya wengine? Acheni ujinga nyinyi....
Magu hakurisk chochote mkuu ebu ingia website ya naot pakua ripoti ya 2021/2022 uone madudu
 
Eti freedom of speech, nani kakuambia maskini anahitaji freedom of speech, huo upuuzi ndiyo umezaa machawa leo hii. Maliza njaa kwanza ndiyo freedom of speech ifuate.
Huwezi jua umuhimu wa freedom of speech na ndo maana huwez jua umuhimu wa kaguzi na kuwa na bunge lenye meno
 
You’re saying this is absolutely normal, you see no issue whatsoever and the guy who posted this alongside the hundreds of supporting comments are just stretching itView attachment 3255200
It's normal during rush hour in all major cities around the world. The guy who posted and others are just like you.
 
Hayo mabehewa hayavuki hata moro kwa taarifa yako maana urefu yamezidi na hayawez pita kwenye mahandak ya kilosa . Sasa mwendazake wakati alazimisha tulipe kwa cash hakujua hilo?
Lete uthibitisho, kwnn unaongea pasipo evidence? Tabia mbaya sn hii.
 
Back
Top Bottom