Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwa hawakubali kushindwa watatafuta tu uongo wowote washindane. 😂😂😂
Jamaa kwa hilo nimewapigia salute 🫡. Wanateteana hao balaa. Hata kama wanajua hicho kitu ni uongo lakini wanakomaa nacho. 🤣🤣 huwa najiulizaga, hivi mliwezaje ku handle watu wa caliber hii since hapo awali.? Seems it was very difficult to win a single discussion.

Mana hata kitu kinaonekana wazi kwa macho pia wanabisha. 🤣🤣
 
Jamaa kwa hilo nimewapigia salute 🫡. Wanateteana hao balaa. Hata kama wanajua hicho kitu ni uongo lakini wanakomaa nacho. 🤣🤣 huwa najiulizaga, hivi mliwezaje ku handle watu wa caliber hii since hapo awali.? Seems it was very difficult to win a single discussion.

Mana hata kitu kinaonekana wazi kwa macho pia wanabisha. 🤣🤣
Walikuwepo wabishi kuliko hawa na wote walitii sembuse hawa kondoo. 😂😂😂
 
Hii ilienda DRC. Ndio hii ikitolewa kwa container.


View: https://x.com/africansinnews/status/1896625260101046579

The fact that they are offloading a tesla like that in Congo, compared to how they posted it here like wasione hii- total contrast😂😂😂
Plus it seems beat up already
IMG_2117.jpeg
 
Kweli manzi siyo neno letu, mi nililisikia US nilipoanza ku hang out na Wakenya. Ila Ndinga ni letu, kumbuka zamani ilikuwa rahisi sana kujua maneno ya Kenya na Tanzania ila siku hizi ni ngumu kidogo. Muingiliano baina ya watu wetu Afrika mashariki umekuwa mkubwa sana.
Sijawahi ikia mtu anaita msichana wake 'Manzi' Tanzania. Tuna maneno mengi sana.
NairobiWalker
 
Yaani hawa kundurenda hawakubali kushindwa hata kama wanafahamu wamekosea ukitaka kuwafaham wambie waweke humu standing zao za mabasi watakwambia wanazo ila picha hawana
Huwa hawakubali kushindwa watatafuta tu uongo wowote washindane. 😂😂😂

Jamaa kwa hilo nimewapigia salute 🫡. Wanateteana hao balaa. Hata kama wanajua hicho kitu ni uongo lakini wanakomaa nacho. 🤣🤣 huwa najiulizaga, hivi mliwezaje ku handle watu wa caliber hii since hapo awali.? Seems it was very difficult to win a single discussion.

Mana hata kitu kinaonekana wazi kwa macho pia wanabisha. 🤣🤣
 
Back
Top Bottom